ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
๐๐๐๐๐bado Tz iko LDC
according to this ๐๐๐
๐๐๐๐๐bado Tz iko LDC
๐๐๐๐๐bado Tz iko LDC
Ukumbuke mombasa island imejengeka sawia na a stretch of 5km hivi..Situlishakubaliana ukubwa wa Pua sio wingi wa kamasi? Mombasa haiwezi Ambia DAR kitu chochote
Mkuu nmepata picha nyingi za kupigia watu, asante sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wakuu kuna Thread yangu huku nilianzisha mwaka 2011 ๐
![]()
Dar es Salaam City in Photos
THE CITY OF DAR ES SALAAM THROUGH PICTURES. DISCOVER DAR. TPA TOWER, PSPF Twin Towers and MNF towers construction by skiligo, on Flickr Dar es salaam Rapid Transit Bus along Kivukoni front by skiligo, on Flickr DSC_5892 by skiligo, on Flickr FROM RK TOWER by skiligo, on Flickr From RK...www.jamiiforums.com
Mombasa island hakuna udongo[emoji23][emoji23]Kwahiyo ka kipande hako ka udongo mnakaita island!? Aiseee mama Ngina anakazi kubwa.
VileteKuna vijiji vipo vimezungukwa na mito je tuviite visiwa!?
Hawa jamaa kumbe zero labisa katika mambo ya geography[emoji23][emoji23]Hahaha. Wewe ni wazimu. Unajua delta ni nini? Delta inahusu river inapofika kwenye ocean inagawanyika mara kadhaa kabla ya kuingia kwenye ocean. Huwezi kutaja neno delta ikiwa hakuna river mahali hapo. Umewahi kusikia neno Nile river delta? Sasa nataka uniambie Mombasa island ni delta ya river gani?
View attachment 1682098
Kwa sababu wenyewe tunapenda kufuatilia mataifa ta nje sana especially mabeberu ndio watu km nyinyi muzidi kuteseka[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani wakenya utakuta mpaka influencers wako huko Twittwer wanakaba kwa nguvu tweets za viongozi wa Marekani with quotes eti wanawananga [emoji28][emoji28][emoji28]
Attention seekers, mpaka wabunge wao wapo wanaosapot Republicans wengine Democrats [emoji28][emoji28][emoji28] yaani ni vihoja ukiona jinsi wanavyojitutumua na viingereza vyao wakifikiri wanasound relevant kwa wamarekani [emoji28][emoji28][emoji28]
Mwishowe badala hata hiyo tweet kuwa na interaction na wamarekani unakuta tweet nzima replies zote ni mungiki wanachambana tu miongoni mwao na wenyewe wapo Republicans and Democrats wa kariobangi na kariadudu basi ni tafrani one-way [emoji28][emoji28][emoji28][emoji706]
Aliyeleta mada anazijua ndio manake kawaletea habari na nyie wanenguaji mzijue[emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi amini hata kuzijua sizijui kabisa, yn niache kuangalia tv za bongo au za mbele kina bbc, aljazeera, cnn etc niangalie ushuzi wa copy and paste.
Tena hyo ni tela next time tunapeleka team hko hko wakachukue live tumechoka ku stream na CNN...Kenyans spending time on their national television, watching Joe And Kamalaโs inauguration is the funniest thing Iโve heard today. And what would the Americans do? Eti โtunakuwa enlightened about the worldโ [emoji23][emoji23][emoji1787] Nchi yenu imejaa giza mnashindwa kuelewa inaendaje mnatazama American affairs. Itโs fine if the news was brief, but the whole event? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] what in the hell?
Kuna wale ambao hawana dstv hapo najua walijikita na citizen siku ya leo[emoji23][emoji23]Kwann uangalie station za kenya?
CNN nnayo kwenye dstv apa Au unataka kusemaje?
Kariobangi na Kariosigara.Yaani wakenya utakuta mpaka influencers wako huko Twittwer wanakaba kwa nguvu tweets za viongozi wa Marekani with quotes eti wanawananga ๐ ๐ ๐
Attention seekers, mpaka wabunge wao wapo wanaosapot Republicans wengine Democrats ๐ ๐ ๐ yaani ni vihoja ukiona jinsi wanavyojitutumua na viingereza vyao wakifikiri wanasound relevant kwa wamarekani ๐ ๐ ๐
Mwishowe badala hata hiyo tweet kuwa na interaction na wamarekani unakuta tweet nzima replies zote ni mungiki wanachambana tu miongoni mwao na wenyewe wapo Republicans and Democrats wa kariobangi na kariadudu basi ni tafrani one-way ๐ ๐ ๐ ๐ฎ
mnapenda kupoteza mda kwa vitu visivyo na maana kila kitu kipo wazi ,mombasa city itabaki kuwa city na hiko kisehemu kinachoitwa mombasa island kitabakia kuitwa mombasa island japo ipo connected na mombasa city inland......Mimi naongea kuhusu Mombasa island kuanzia mwanzo lakini wewe umeanza kuongea kuhusu Mombasa region. Inaonyesha jinsi wewe ni kigeugeu. Tunaongea kuhusu Mombasa island. Na wewe ulipinga kabisa kwamba hakuna island Mombasa. Hata ukaniwekea map ya umavi na kuniambia nikuonyeshe wapi island ilipo. Map uliyoweka hata haikuwa na Mombasa island. Unaenda kuokota takataka kwenye internet na kuzileta huku.
Hayo matukio ya ndugu wa tumbo moja kuuana kwa chakula no ya kila siku Kenya.Kuna nyingine nliskia eti Kaka mmoja alimuua ndugu yake kisa kammalizia kichwa cha samaki tulijikuta wote tumecheka Kenya huwa wanahabari za ajabu Sana๐
Youโre not worth my attentionTena hyo ni tela next time tunapeleka team hko hko wakachukue live tumechoka ku stream na CNN...
Yani tunaongeza matawi kabisa europe na marekani ndio mzidi kuteseka kabisa[emoji23][emoji23]
Tena tunapenda sana km vile nyie mnavyopenda kuangalia reli tv na uzinduzi wa jiwe
. We mbuzi acha kutukosea heshima wewe kichwa hamna .viwanda vya namna hiyo uku kwetu sio level yenu . Dsm iyo . Tena tukizungumza kuhusu mnatakiwa. mkae kimya mbuzi nyie. . Arusha . Asas iringa. chobo dsmJamaa wanashtukia kampuni za maziwa karne ndio manake kila anayetoke jina mwisho ni fresh tu wala hataki kujua