Yaani wakenya utakuta mpaka influencers wako huko Twittwer wanakaba kwa nguvu tweets za viongozi wa Marekani with quotes eti wanawananga 😅😅😅
Attention seekers, mpaka wabunge wao wapo wanaosapot Republicans wengine Democrats 😅😅😅 yaani ni vihoja ukiona jinsi wanavyojitutumua na viingereza vyao wakifikiri wanasound relevant kwa wamarekani 😅😅😅
Mwishowe badala hata hiyo tweet kuwa na interaction na wamarekani unakuta tweet nzima replies zote ni mungiki wanachambana tu miongoni mwao na wenyewe wapo Republicans and Democrats wa kariobangi na kariadudu basi ni tafrani one-way 😅😅😅🚮