Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna nyingine nliskia eti Kaka mmoja alimuua ndugu yake kisa kammalizia kichwa cha samaki tulijikuta wote tumecheka Kenya huwa wanahabari za ajabu Sana🙂
Nyinyi media zenu ndo mbovu si habari kukosekana
 
pompeo bana
IMG_1611169467.453033.jpg
 
Kenyans spending time on their national television, watching Joe And Kamala’s inauguration is the funniest thing I’ve heard today. And what would the Americans do? Eti “tunakuwa enlightened about the world” 😂😂🤣 Nchi yenu imejaa giza mnashindwa kuelewa inaendaje mnatazama American affairs. It’s fine if the news was brief, but the whole event? 🤣🤣🤣🤣 what in the hell?
 
Mbona kilio, nani sai atapoteza mda akaangalie tv za tanzania..
Medias zetu hazikwepeki ukanda huu, watu wengi wa EA najua leo wametumia tv zetu ku watch hilo tukio
Huwezi amini hata kuzijua sizijui kabisa, yn niache kuangalia tv za bongo au za mbele kina bbc, aljazeera, cnn etc niangalie ushuzi wa copy and paste.
 
View attachment 1682107
Nataka you look at that picture carefully in this case it is the sea that has extended into the land and surrounded a piece which is mombasa the water is not coming from a river from mainland and hope you know the diffrence between a sea and an ocean.
Kwahiyo hapo ww kwa akili zako unaona kuna island hapo? Wallahi Wakenya ni wehu sn
 
Watanzania waliopotea kwenye uzi huu wote wanatazama tv stations za Kenya. Wanatazama uapishwaji wa Biden. Ndio maana hawapo hapa. Halafu wanajifanya kwamba hawana haja ya kutazama uapisho huo
Kwamba wamarekani hawana Tv zao au sio
 
Yaani wakenya utakuta mpaka influencers wako huko Twittwer wanakaba kwa nguvu tweets za viongozi wa Marekani with quotes eti wanawananga 😅😅😅

Attention seekers, mpaka wabunge wao wapo wanaosapot Republicans wengine Democrats 😅😅😅 yaani ni vihoja ukiona jinsi wanavyojitutumua na viingereza vyao wakifikiri wanasound relevant kwa wamarekani 😅😅😅

Mwishowe badala hata hiyo tweet kuwa na interaction na wamarekani unakuta tweet nzima replies zote ni mungiki wanachambana tu miongoni mwao na wenyewe wapo Republicans and Democrats wa kariobangi na kariadudu basi ni tafrani one-way 😅😅😅🚮
 
Back
Top Bottom