Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tv zenu za kishamba sana.. nimejaribu kucheck tv za kenya na Tanzania, za Tanzania hata hazina ujinga wa kuonyesha hayo mambo ya USA.. nyie zenu ndo zinapnyesha .. yan badala zihabarishe au ziibue matatizo ktk jamaa yenu.. zinaonyesha vitu vya nje.. sidhan tv za usa zina mda wa kuonyesha inauguration events za marais wa kenya!!!
That's means our TV's are international,si local Kama zenu😁
 
tv zenu za kishamba sana.. nimejaribu kucheck tv za kenya na Tanzania, za Tanzania hata hazina ujinga wa kuonyesha hayo mambo ya USA.. nyie zenu ndo zinapnyesha .. yan badala zihabarishe au ziibue matatizo ktk jamaa yenu.. zinaonyesha vitu vya nje.. sidhan tv za usa zina mda wa kuonyesha inauguration events za marais wa kenya!!!
Kenya ni taifa la ajabu sana duniani mkuu.
 
tv zenu za kishamba sana.. nimejaribu kucheck tv za kenya na Tanzania, za Tanzania hata hazina ujinga wa kuonyesha hayo mambo ya USA.. nyie zenu ndo zinapnyesha .. yan badala zihabarishe au ziibue matatizo ktk jamaa yenu.. zinaonyesha vitu vya nje.. sidhan tv za usa zina mda wa kuonyesha inauguration events za marais wa kenya!!!
Wewe unalialia nini? Sio lazima uzitazame. Switch off au badilisha channel.
 
We uko na wazimu,, Mombasa island is bigger than kariakoo+posta+ upanga combined,,,na hio island 80% Ni CBD,Ukisikia tukisema Dar imezidia Mombasa tu kwa towers tunajua tunachosema
Upana Ni 3km
Urefu Ni 5km
See below
View attachment 1682036View attachment 1682037
Usisahau kumwambia km 90% ya island kumejengeka kote kitu km 80% ni central business department..
Wakiambiwa hukasirika
 
tv zenu za kishamba sana.. nimejaribu kucheck tv za kenya na Tanzania, za Tanzania hata hazina ujinga wa kuonyesha hayo mambo ya USA.. nyie zenu ndo zinapnyesha .. yan badala zihabarishe au ziibue matatizo ktk jamaa yenu.. zinaonyesha vitu vya nje.. sidhan tv za usa zina mda wa kuonyesha inauguration events za marais wa kenya!!!
Mbona kilio, nani sai atapoteza mda akaangalie tv za tanzania..
Medias zetu hazikwepeki ukanda huu, watu wengi wa EA najua leo wametumia tv zetu ku watch hilo tukio
 
Nataka kujua Mombasa region ni island au sio Island, usiniletee story za CBD
Mimi naongea kuhusu Mombasa island kuanzia mwanzo lakini wewe umeanza kuongea kuhusu Mombasa region. Inaonyesha jinsi wewe ni kigeugeu. Tunaongea kuhusu Mombasa island. Na wewe ulipinga kabisa kwamba hakuna island Mombasa. Hata ukaniwekea map ya umavi na kuniambia nikuonyeshe wapi island ilipo. Map uliyoweka hata haikuwa na Mombasa island. Unaenda kuokota takataka kwenye internet na kuzileta huku.
 
Mimi naongea kuhusu Mombasa island kuanzia mwanzo lakini wewe umeanza kuongea kuhusu Mombasa region. Inaonyesha jinsi wewe ni kigeugeu. Tunaongea kuhusu Mombasa island. Na wewe ulipinga kabisa kwamba hakuna island Mombasa. Hata ukaniwekea map ya umavi na kuniambia nikuonyeshe wapi island ilipo. Map uliyoweka hata haikuwa na Mombasa island. Unaenda kuokota takataka kwenye internet na kuzileta huku.
Kuna vijiji vipo vimezungukwa na mito je tuviite visiwa!?
 
tv zenu za kishamba sana.. nimejaribu kucheck tv za kenya na Tanzania, za Tanzania hata hazina ujinga wa kuonyesha hayo mambo ya USA.. nyie zenu ndo zinapnyesha .. yan badala zihabarishe au ziibue matatizo ktk jamaa yenu.. zinaonyesha vitu vya nje.. sidhan tv za usa zina mda wa kuonyesha inauguration events za marais wa kenya!!!
Kenya ni koloni la wazungu
 
Kwahiyo ka kipande hako ka udongo mnakaita island!? Aiseee mama Ngina anakazi kubwa.
Island ni a scientific definition. Sio Venus Star kutoka Tanzania anayeamua nini kitaitwa Island na nini hakitaitwa island. Definition ya Island ni scientific na ni very simple. As long as eneo lolote la ardhi limezungukwa na maji hilo eneo ni island. Period. Whether hilo eneo ni ndogo kama meza au gari au whether eneo hilo ni kubwa kama Madagascar au New Zealand. Kuna islands ndogo ndogo duniani. Kwa mfano soma hii article uone kwamba island iwe kubwa au ndogo bado ni island. Huu upuzi wako wa kujifanya mjinga kwamba island lazima iwe kubwa inaonyesha kila mtu jinsi wewe ni zuzu. Kuna islands ndogo hata kushinda Mombasa island duniani.
Najua hutasoma hii article. Hupendi kusoma na kujifunza, unajionanga genius anayejua kila kitu. Useless kabisa

 
Back
Top Bottom