Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Were jamaa. Hebu nenda kasome maana ya kisiwa kwanza ndio ulete ubishi hapa.

Hayo maji yaliyoingia nchi kavu na kujitenga inaitwa lagoon
Also ardhi iliyoingia kwenye maji inaitwa peninsula
Hii hapa ndio ramani ya Mombasa iliyokamili
Hata mipaka ya mombasa haijui 😅😅
 
Naona wewe Samaboy unatokea Mwanza ndio maana hukufurahia niliposema kwamba Mwanza haistahili kulinganishwa na Mombasa.
Hebu weka video ya Mwanza hapa nione hadhi yake.
1. Airport ya Mwanza tayari ni banda la kuku lakini mnajenga nyingine mpya. Mkimaliza kujenga hio airport na ipate wasafiri wengi kama ya Mombasa basi mje hapa tufanye battle. Airport ya Mombasa inapokea abiria zaidi ya milioni moja kila mwaka. Airport ya Mombasa sio airport ndogo maana isipokuwa Julius Nyerere hakuna airport nyingine TZ inayoipiku Moi airport Mombasa kwa idadi ya abiria.
2. Bandari ya Mombasa ni ya tano Africa tukizingatia idadi ya mizigo inayopakuliwa kila mwaka.
View attachment 1681588
Kwa hivyo kwenye airport na port Mombasa inaipiga Mwanza bila huruma.
3. Hata kwenye barabara Mombasa ina barabara nzuri kushinda Mwanza.
4. Mombasa ina SGR wakati Mwanza hata mipango hakuna za kuleta SGR huko.
5. Hata kwenye tourism, Mombasa ina 4-star na 5-star hotels nyingi kushinda Mwanza. Hata kwenye beach Mombasa ina beach nzuri kushinda Mwanza. Yaani beach ya Lake Victoria ndio unataka kulinganisha na beach ya Indian ocean?


Cc Geza Ulole Naton Jr Venus Star
Huwa unamaanisha nini unaposema hakuna SGR mwanza? Na hiyo itakayojengwa na mchina ya Mwanza-Isaka?
 
Were jamaa. Hebu nenda kasome maana ya kisiwa kwanza ndio ulete ubishi hapa.

Hayo maji yaliyoingia nchi kavu na kujitenga inaitwa lagoon
Also ardhi iliyoingia kwenye maji inaitwa peninsula
Hii hapa ndio ramani ya Mombasa iliyokamili
Kwa hivyo wewe ni genius unapingana na kila source kwenye vitabu na kwenye internet. Unapingana na wikipedia. Unapingana na google maps. Tumesoma kwamba Mombasa ni island kuanzia enzi za akina Sultan kutoka Oman. Hizi daraja za kuunganisha Mombasa na mainland zimejengwa juzi. Zamani watu wanaoishi Mombasa island lazima wangetumia boat kuvuka kutoka mainland hadi Mombasa island. Sultan wa Zanzibar na Portuguese na the British walipokuwa wanavamia eneo hili wote walitumia boats kuvuka kutoka mainland hadi Mombasa island. Serikali ilipojenga daraja ndio watu wakawacha kutumia mtumbwi kuvuka. Halafu mimi nakupa facts and sources na wewe unanipa vijimaneno tu. Sasa sitaki unifunze upuuzi wako. Nipe sources niende nikajisomee. Leta sources zinazosema kwamba Mombasa sio island na kama huna kaa kimya. Usiendelee kujiaibisha.
 
Naton Jr Venus Star leo mumejiaibisha sana mbele ya kila mtu. Eti mnasema kwamba Mombasa sio kisiwa? Halafu mnapingana na Mkenya. Kati ya Mkenya na Mtanzania nani anajua vitu vingi kuhusu Kenya?

Nataka ng'ombe yoyote ile kutoka Lazyland ipinge hii picha kwamba Mombasa sio kisiwa. Hii sio google maps ya kuchorwa. La hasha. Hii nimeenda kuwatafutieni satellite images ya Mombasa island. Sasa nangojea mtu mwenye ubavu wa kunipinga. Pinga satellite image kama wewe ni mwanaume.

View attachment 1681762
Hiyo sio Island kama Zanzibar...

Hiyo ni Lagoon au ukizungumzia Coral reef hiyo ni backreef...

Kenya hata Physical Geography sijui kama mnasomaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hivyo wewe ni genius unapingana na kila source kwenye vitabu na kwenye internet. Unapingana na wikipedia. Unapingana na google maps. Tumesoma kwamba Mombasa ni island kuanzia enzi za akina Sultan kutoka Oman. Hizi daraja za kuunganisha Mombasa na mainland zimejengwa juzi. Zamani watu wanaoishi Mombasa island lazima wangetumia boat kuvuka kutoka mainland hadi Mombasa island. Sultan wa Zanzibar na Portuguese na the British walipokuwa wanavamia eneo hili wote walitumia boats kuvuka kutoka mainland hadi Mombasa island. Serikali ilipojenga daraja ndio watu wakawacha kutumia mtumbwi kuvuka. Halafu mimi nakupa facts and sources na wewe unanipa vijimaneno tu. Sasa sitaki unifunze upuuzi wako. Nipe sources niende nikajisomee. Leta sources zinazosema kwamba Mombasa sio island na kama huna kaa kimya. Usiendelee kujiaibisha.
LOL kwa hiyo saivi umepata na Mombasa mainland nayo? 😅😅😅
 
Naona wewe Samaboy unatokea Mwanza ndio maana hukufurahia niliposema kwamba Mwanza haistahili kulinganishwa na Mombasa.
Hebu weka video ya Mwanza hapa nione hadhi yake.
1. Airport ya Mwanza tayari ni banda la kuku lakini mnajenga nyingine mpya. Mkimaliza kujenga hio airport na ipate wasafiri wengi kama ya Mombasa basi mje hapa tufanye battle. Airport ya Mombasa inapokea abiria zaidi ya milioni moja kila mwaka. Airport ya Mombasa sio airport ndogo maana isipokuwa Julius Nyerere hakuna airport nyingine TZ inayoipiku Moi airport Mombasa kwa idadi ya abiria.
2. Bandari ya Mombasa ni ya tano Africa tukizingatia idadi ya mizigo inayopakuliwa kila mwaka.
View attachment 1681588
Kwa hivyo kwenye airport na port Mombasa inaipiga Mwanza bila huruma.
3. Hata kwenye barabara Mombasa ina barabara nzuri kushinda Mwanza.
4. Mombasa ina SGR wakati Mwanza hata mipango hakuna za kuleta SGR huko.
5. Hata kwenye tourism, Mombasa ina 4-star na 5-star hotels nyingi kushinda Mwanza. Hata kwenye beach Mombasa ina beach nzuri kushinda Mwanza. Yaani beach ya Lake Victoria ndio unataka kulinganisha na beach ya Indian ocean?


Cc Geza Ulole Naton Jr Venus Star
Mkataba waliosign juzi wachina na trc wa reli inatoka mwanza hadi Isaka usijisahaulishe...SGR
 
Kwa hivyo wewe ni genius unapingana na kila source kwenye vitabu na kwenye internet. Unapingana na wikipedia. Unapingana na google maps. Tumesoma kwamba Mombasa ni island kuanzia enzi za akina Sultan kutoka Oman. Hizi daraja za kuunganisha Mombasa na mainland zimejengwa juzi. Zamani watu wanaoishi Mombasa island lazima wangetumia boat kuvuka kutoka mainland hadi Mombasa island. Sultan wa Zanzibar na Portuguese na the British walipokuwa wanavamia eneo hili wote walitumia boats kuvuka kutoka mainland hadi Mombasa island. Serikali ilipojenga daraja ndio watu wakawacha kutumia mtumbwi kuvuka. Halafu mimi nakupa facts and sources na wewe unanipa vijimaneno tu. Sasa sitaki unifunze upuuzi wako. Nipe sources niende nikajisomee. Leta sources zinazosema kwamba Mombasa sio island na kama huna kaa kimya. Usiendelee kujiaibisha.
Dah!!! Jamani hebu msikilizeni huyu!! Anaongea matope gani haya.

So kuvuka kwa boat ndio justification ya island!? Hebu acha utoto basi.

Kwenda kigamboni tunavuka kwa boat but kigboni is not an island.
Kutoka kigongo kwenda busisi in mwanza wanavuka kwa boat but is not an island.

We jamaa hebu jaribu kuangalia upya mipaka ya Mombasa huenda huijui.
 
Muwege mnajifunza Geography hii ni coral reef
JPEG_20210120_102425_1463059799.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
. Tony254 jana ulidai eti mwanza haina barabara za njia nne .msikilizeni mkuu was mkoa was mwanza huo huyo na vid inajieleza. Barabara ya kuanzia daraja furahisha furahisha kelekea airport na kwengineko ni 4 lanes bro

Njia gani hii mbovu huwezi compare na Amazon's ziko mombasa
 
Kwani ulikuwa hujui kwamba Mombasa ni kisiwa? Japo kuna maeneo mengine ambayo yapo mainland lakini Mombasa ni kisiwa. Hata ukiangalia kwenye Google maps utaona kuwa ni kisiwa.
Mombasa ni kisiwa? Gods must be crazy
 
Jaluo na kikuyu wako inchi moja but zanzibar is a country of it's own ni vile tu they did a merger with tanganyika dint even know that anti-Zanzibar sentiment on the mainland is moving beyond political rhetoric. As recently as March 2017, President John Magufuli threatened to cut electricity supply to the islands if the Zanzibar failed to pay a debt of 121 billion Tanzanian shillings ($54m). that's funny tanzania iwache zanzibar wafanye tu Maneno yao Awache kujilazimisha kwao na wao wanataka kujitawala
Pwani si Kenya, mbona mumeua viongozi wote wanaotaka Mombasa kujitenga?
 
Siku nyingine uwe unasema Mombasa region au Mombasa city got an island called Mombasa Island which is a 5 by 3 km in size within Mombasa borders

Ukiwaambia watu eti Mombasa ni Island ya ukubwa wa 5 by 3 kilometres unaonekana namna gani ulivyo kubwa jinga and of course na elimu ya Kenya ni trash 🚮🚮🚮 we all know!
Tanzania kuna elimu?
 
Hata mipaka ya mombasa haijui 😅😅
Wewe umebadilisha gear. Mwanzoni ulisema kwamba Mombasa sio kisiwa. Ukasema mimi ni wazimu. Lakini nilipokuletea google maps na satellite image ya Mombasa island umeanza kusema tena kwamba Nyali ipo mainland. Kama ungesoma comment yangu mwanzoni, huu mjadala haungetokea. Tatizo lenu hampendi kusoma comment ya mtu. Kwenye comment yangu nilisema kwamba Mombasa kuna kisiwa na pia kuna mainland. Wewe kukosa kusoma comment yangu vizuri ni shida yako ya kutokuwa makini.
Soma hii comment yangu vizuri uone kwamba nilikiri kwamba kuna maeneo ya Mombasa ambayo yako Mainland lakini kwa sababu nyinyi Malazy hampendi kusoma sishangai tabia yenu ya kutokuwa makini.


Kwani ulikuwa hujui kwamba Mombasa ni kisiwa? Japo kuna maeneo mengine ambayo yapo mainland lakini Mombasa ni kisiwa. Hata ukiangalia kwenye Google maps utaona kuwa ni kisiwa.


Halafu hapa ukanitusi kwamba mimi ni mtu bogus kuwahi kutokea halafu ukapost map ya umavi sana na kuniuliza nionyeshe wapi Mombasa island ilipo. Hio map ya umavi uliyopost haina Mombasa island lakini hio ni kwa sababu hio ni map ya umavi. Mimi nimekuwekea satellite image ya Mombasa island. Leo mumejiabisha sana. Kama hujui kitu nyamaza.
We jamaa ni bogus kuwai kutokea hapa jukwaani, Mombasa ikwapi na hicho kisiwa kikwapi? View attachment 1681742


Cc Venus Star
 
Hio $700 million ni pesa ya investors. Serikali ya Kenya haijatoa hata shilingi moja hapo.
Ujinga mlio nao ni wa ajabu sana kuwahi kutokea duniani, ss km pesa ametoa investor na umeme atalipia nani? Investor? Huoni km hapo kuna mazingira ya rushwa? Yn mnaruhusu mtu aje awajengee costful source of energy while cheap sources are there, are you listening to urself?
 
Hata mipaka ya mombasa haijui 😅😅
Wewe umebadilisha gear. Mwanzoni ulisema kwamba Mombasa sio kisiwa. Ukasema mimi ni wazimu. Lakini nilipokuletea google maps na satellite image ya Mombasa island umeanza kusema tena kwamba Nyali ipo mainland. Kama ungesoma comment yangu mwanzoni, huu mjadala haungetokea. Tatizo lenu hampendi kusoma comment ya mtu. Kwenye comment yangu nilisema kwamba Mombasa kuna kisiwa na pia kuna mainland. Wewe kukosa kusoma comment yangu vizuri ni shida yako ya kutokuwa makini.
Soma hii comment yangu vizuri uone kwamba nilikiri kwamba kuna maeneo ya Mombasa ambayo yako Mainland lakini kwa sababu nyinyi Malazy hampendi kusoma sishangai tabia yenu ya kutokuwa makini.


Kwani ulikuwa hujui kwamba Mombasa ni kisiwa? Japo kuna maeneo mengine ambayo yapo mainland lakini Mombasa ni kisiwa. Hata ukiangalia kwenye Google maps utaona kuwa ni kisiwa.


Halafu hapa ukanitusi kwamba mimi ni mtu bogus kuwahi kutokea halafu ukapost map ya umavi sana na kuniuliza nionyeshe wapi Mombasa island ilipo. Hio map ya umavi uliyopost haina Mombasa island lakini hio ni kwa sababu hio ni map ya umavi. Mimi nimekuwekea satellite image ya Mombasa island. Leo mumejiabisha sana. Kama hujui kitu nyamaza
We jamaa ni bogus kuwai kutokea hapa jukwaani, Mombasa ikwapi na hicho kisiwa kikwapi? View attachment 1681742


Cc Venus Star
 
Back
Top Bottom