Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

jaluo anapenda Kikuyu?
Au Kalenjin anapenda Kikuyu?
Jaluo na kikuyu wako inchi moja but zanzibar is a country of it's own ni vile tu they did a merger with tanganyika dint even know that anti-Zanzibar sentiment on the mainland is moving beyond political rhetoric. As recently as March 2017, President John Magufuli threatened to cut electricity supply to the islands if the Zanzibar failed to pay a debt of 121 billion Tanzanian shillings ($54m). 😂😂😂😂 that's funny tanzania iwache zanzibar wafanye tu Maneno yao Awache kujilazimisha kwao na wao wanataka kujitawala
 
Jaluo na kikuyu wako inchi moja but zanzibar is a country of it's own ni vile tu they did a merger with tanganyika dint even know that anti-Zanzibar sentiment on the mainland is moving beyond political rhetoric. As recently as March 2017, President John Magufuli threatened to cut electricity supply to the islands if the Zanzibar failed to pay a debt of 121 billion Tanzanian shillings ($54m). 😂😂😂😂 that's funny tanzania iwache zanzibar wafanye tu Maneno yao Awache kujilazimisha kwao na wao wanataka kujitawala
Pita 2022 kwanza! Kamwana the tribal kingpin is already inciting his tribal community against Ruto n his Kalenjin community !

 
It was a joint east africa project hata kama sisi hatukujenga ya umeme tulimaliza mapeeema bado a century later hamjawai anza kuna Matilda kama kuna mwana biashara atakuambia that's poor turn over
Mulimaliza mapema au mchina alimaliza mapema alaf madudu yakaanza kuonekana alaf ikaishia machakani😅😅😅😅
 
Nani aumizwe roho mnaweka asilimia bila aibu na ni miaka ishirini baadae kenya and ethiopia walishaanza kutumia zao hadi zimezeeka ndo maana kenya imeanza kufanya biashara na ethiopia wait wako chap chap si mabongo lala Kama wenzetu huku
Kenya imeanza kutumia sgr miaka 20 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu weeeeeeeee
 
Jaluo na kikuyu wako inchi moja but zanzibar is a country of it's own ni vile tu they did a merger with tanganyika dint even know that anti-Zanzibar sentiment on the mainland is moving beyond political rhetoric. As recently as March 2017, President John Magufuli threatened to cut electricity supply to the islands if the Zanzibar failed to pay a debt of 121 billion Tanzanian shillings ($54m). 😂😂😂😂 that's funny tanzania iwache zanzibar wafanye tu Maneno yao Awache kujilazimisha kwao na wao wanataka kujitawala
Kwann nyie musiachie mombasa wakajitawala 🤣🤣🤣👇👇👇👇 Au unafkiri hatujui
 
Wazanzibari wengi wapo bara na wamewekeza maisha yao yote huku bara kuliko Zanzibar, kwakifupi huku kwetu hakuna ubaguzi na hautowahi kutokea cz Tz miaka yote inaongozwa na viongozi makini walioenda shule co nyie wapuuzi.
Ila jamaa kakupiga punches za kisawasawa Simba 254
Unachokisema mbona kwelj tu, wazenji wakipewa nafasi wachague watachagua kujitawala na hilo lipo wazi..

Huyo jamaa anangania na sijui eti kuwekeza, mbona uwekezaji hata china mtu anawekeza na wala hawana muungano nao
 
Rais wa mombasa wa kwanza alikua nani vile
Nionyeshe walipata uhuru lini na pesa yao ilikua gani..

Njoni hku kuna jamaa kaumie aisee
Na hawa waliokua wanadai uhuru ni kina nani vile nikumbushe au unafkiri kenyatta alifuta historia???😁😁😁
 
Back
Top Bottom