Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,740
Najua in the past mlikuwa na a bigger Gdp than ours. Ilikuwa Somewhere in the 1980s or 1990s. Sasa sijui mlikosea wapi njia hadi tukawapita
Hata SA ni Barabara na viwanda tu wako mbele yetu. Hali ya kimaisha ni mbovu sana kama Kenya tu.Leo wameumia sana hawa jamaa cz walikuwa wanajua km Tz cku ikiamka hakuna nchi itatukaribia hapa Afrika watake wasitake, mda c mrefu tutawaacha na battle yao na Rwanda, Ethiopia, na zingine size yao but cc tutaanza kupambana na kina SA, Nigeria(GDP)
Anayeogopa aendelee kuogopa ila mm ndo nasema hivyo mana ukiangalia hizo nyingine ukitoa SA na nchi za kiarabu ni uvundo tu na hazina rasilimali nyingi km Tz![]()
Iyo Siku mtanipata upfront kayole guy 1960 Ntawakaribisha na Virungu na Nderemo mtashangaa sana sana
Mombasa ni Tz ile ipo siku tutaichukua.