Wewe umebadilisha gear. Mwanzoni ulisema kwamba Mombasa sio kisiwa. Ukasema mimi ni wazimu. Lakini nilipokuletea google maps na satellite image ya Mombasa island umeanza kusema tena kwamba Nyali ipo mainland. Kama ungesoma comment yangu mwanzoni, huu mjadala haungetokea. Tatizo lenu hampendi kusoma comment ya mtu. Kwenye comment yangu nilisema kwamba Mombasa kuna kisiwa na pia kuna mainland. Wewe kukosa kusoma comment yangu vizuri ni shida yako ya kutokuwa makini.
Soma hii comment yangu vizuri uone kwamba nilikiri kwamba kuna maeneo ya Mombasa ambayo yako Mainland lakini kwa sababu nyinyi Malazy hampendi kusoma sishangai tabia yenu ya kutokuwa makini.
Halafu hapa ukanitusi kwamba mimi ni mtu bogus kuwahi kutokea halafu ukapost map ya umavi sana na kuniuliza nionyeshe wapi Mombasa island ilipo. Hio map ya umavi uliyopost haina Mombasa island lakini hio ni kwa sababu hio ni map ya umavi. Mimi nimekuwekea satellite image ya Mombasa island. Leo mumejiabisha sana. Kama hujui kitu nyamaza.
Cc
Venus Star