Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Watu wanapigana vijembe kwenye comments section
Screenshot_20210120-082203.jpg
Screenshot_20210120-082229.jpg
 
Hizi habari majirani wakisikia wanaharisha kwa uchungu🙂wakumbushe pia Tanzania ndo nchi pekee duniani amabayo iko na deposits za rare mineral, kama vile Tanzanite and others soon to be discovered 🙂
Tanzanite ni gamestone na si rare metal ndo maana huwezi kuikuta ndani ya periodic table kwenye group ya rare metals!
 

Attachments

  • Screenshot_2021-01-20-07-05-02.png
    Screenshot_2021-01-20-07-05-02.png
    109.6 KB · Views: 5
Ni sawa. Wacha mjadala uishe. Lakini nataka ujuwe kwamba mimi siikejeli Mwanza. Mwanza ni mji mzuri na siku moja nitakuja kutembea huko. Lakini likija kwenye swala la battle basi mimi naona hata afadhali zanzibar vs Mombasa maana hizi islands mbili zilikuwa zinamilikiwa na Sultan kutoka Oman na zina fanana kwa mambo mengi. Zote ziko kando mwa Indian ocean,zote zinapokea watalii wengi, vyote viwili ni visiwa e.t.c Anyway uwe na siku njema ndugu.
Mombasa kumbe ni kisiwa?
 
Kenya imeappear mara mbili kwenye hii list. Largest producer of geothermal power in Africa and largest producer of windpower in Africa. Nice one.

Cc Geza Ulole
Wind power ina contribute Megawatts ngapi kwenye Grid yenu ya Taifa...

Kenya ni mnazingua sana...

Hamthamini pesa yenu hata kidogo,

Ethiopia, Wanajenga Bwawa kubwa, Tanzania wanajenga Bwawa kubwa South Africa na Egpty wana(Wanajenga Nuclear Reactors).

Yaani serikali yenu haijali kabisa kuwalimbikizia mzigo wa gharama za maisha zisizo za lazima...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha. Hapa sikubaliani na wewe bro. Beach kama haina mchanga ni shamba ya kupandia mimea. Beach zinazoheshimika zote ni za mchanga. Kwa mfano hapa Kenya tuna beach fulani ambayo imezoea kushinda international awards kila wakati. It is one of the best beaches in Africa. Inaitwa Diani beach Mombasa. Mwaka wa 2019 ilishinda tuzo katika kundi la "Africas leading beach destination"


Mkuu hata beach za Zanzibar zimeshinda beach za Mwanza kwa mbali. Beach za Indian ocean ni kali sana mzee. Huwezi kuzilinganisha na shamba za lake Victoria
Diani beach is in Kwale county and NOT Mombasa county! BTW the whole of mombasa haina 5 star hotel! Mombasa ni jina tu! BTW mapato ya resort hayazidi $2 mln kwa mwaka! Wakati mgodi au refinery inatema mamilioni ya US $!
 
Kenya imeappear mara mbili kwenye hii list. Largest producer of geothermal power in Africa and largest producer of windpower in Africa. Nice one.

Cc Geza Ulole
Hiyo wind power inachangia chini ya Megawatt 6 na ilijengwa kwa dola million 18...

. Alafu bado unajisifia daah...

Mungu awasamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mombasa kumbe ni kisiwa?
Kwani ulikuwa hujui kwamba Mombasa ni kisiwa? Japo kuna maeneo mengine ambayo yapo mainland lakini Mombasa ni kisiwa. Hata ukiangalia kwenye Google maps utaona kuwa ni kisiwa.
 
Diani beach is in Kwale county and NOT Mombasa county! BTW the whole of mombasa haina 5 star hotel! Mombasa ni jina tu! BTW mapato ya resort hayazidi $2 mln kwa mwaka! Wakati mgodi au refinery inatema mamilioni ya US $!
Sawa basi.
 
Hiyo wind power inachangia chini ya Megawatt 6 na ilijengwa kwa dola million 18...

. Alafu bado unajisifia daah...

Mungu awasamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio windpower plant ya Lake Turkana inaproduce 310 MW. Kuna nyingine Kilifi ya 100 MW imekamilika tunangojea tu rais aizinduwe mwaka huu. Ngong hills ina zaidi ya 30 MW. Kenya inaproduce zaidi ya 340 MW of windpower. Hii 100 MW kilifi windpower ikizinduliwa basi Kenya itakuwa inaproduce 450 MW of windpower. Halafu fahamu kuwa Kenya ndio nchi ya pekee Afrika inayozalisha Geothermal power.
 
Hio windpower plant ya Lake Turkana inaproduce 310 MW. Kuna nyingine Kilifi ya 100 MW imekamilika tunangojea tu rais aizinduwe mwaka huu. Ngong hills ina zaidi ya 30 MW. Kenya inaproduce zaidi ya 340 MW of windpower. Hii 100 MW kilifi windpower ikizinduliwa basi Kenya itakuwa inaproduce 450 MW of windpower. Halafu fahamu kuwa Kenya ndio nchi ya pekee Afrika inayozalisha Geothermal power.
Vyanzo vyote hivyo production charges zake ni pasua kichwa ndio maana umeme wenu ni ghali mara 5 ya Tanzania
 
Back
Top Bottom