Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20210115_175735.jpg
IMG_20210115_175737.jpg

IMG_20210115_175739.png
Construction of Water Treatment Plant (WTP) in konza. Noma sana
 
Nyie mna daraja la maana Kenya nzima? Hebu angalia hiyo interchange na barabara zake halafu uniambie ukiacha Kampala ni jiji gani around Lake Victoria lina design nzuri namna hiyo?
Hii interchange ata Ni ya Uganda 🤣🤣🤣🤣wezi wa pictures 👏👏👏🤣🤣
 
Haha kumbe mumeiba interchange ya Uganda. Venus Star niliwaambia kwamba kwenye sophistication ya barabara mko nyuma sana. Hata Uganda wamewashinda.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tz is overrated,,UG should be in front is this lazy wapoko
 
watu matumbo ya uzazi yameanza kucheza huko.

kweli nimeamini tuko serious na hili jambo letu la kuiweka tz nafasi yake.
Umeona eee? Sisi ndiyo wataalam hapa EA. Nataka nijue nani consultant kwenye lot ya Mwanza - Isaka. Wale rafiki zetu tusipowabana hawakawii kutuletea famba kama za jirani zetu hapo juu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tz is overrated,,UG should be in front is this lazy wapoko
Ni wivu unakusumbua tu
 
Back
Top Bottom