Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila jubilee sijui kama mbinguni wataenda 😌😌😌😌😌



 
Mombasa wacha tu,Dar chunga sanahapo hamna kkoo,wala kinondoni.
View attachment 1678396
View attachment 1678397
FB_IMG_1610178763729.jpg
bila kino wala kkoo
 
Tumefanya kitambo hiyo ndio maana hakuna shida ya maji Dar.
Skieni huyu,hii technology inatumika hapa is the first one in East and central Africa,nyi hamna,,konza si city ya kawaida kila kitu hapo Ni of new technologies
 
Skieni huyu,hii technology inatumika hapa is the first one in East and central Africa,nyi hamna,,konza si city ya kawaida kila kitu hapo Ni of new technologies
Iko wapi ss hiyo konza, btw hizo mambo za water tumefanya kitambo sana.
 
I love this💪💪💪
hqttps://www.facebook.com/100044099051069/posts/254139276066039/?app=fbl
 
Sasa ndio mumeanza kujenga interchange? Aki mko nyuma.
huwa hatujengi vitu ilimradi for fashion....

hii ndiyo tofauti kubwa baina ya Tz na kenya...

mfano kenya inaweza ikaweka interchange maporini ambapo hakuna hata umuhimu ila tz haitoweka interchange mpaka muda muafaka.. hiki ndicho kitu kitakachoipindua kenya....

kaeni kwa umakini nilichosema ndiyo ukweli kenya inapotea ndani ya Tz siku za mbeleni isave hii ..
 
Back
Top Bottom