Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu ni mgogoro wa kawaida wa kibiashara. Hakuna figisu hapa. Utatatuliwa mahakamani. Hata nyinyi kuna wakati mlizuia maziwa ya brookside kuuzwa huko kwenu.
Peleka upumbavu kwani Tanzania hatuna maziwa yaani mnagombana kwa ajili ya maziwa ambayo brookside ilichofanya ni kuya-pasteurization na kuya-pack na kuleta! EAC should be for industrial goods kama nyie mna-import chakula ni kwa ajili ya uzembe wenu wa kutolima!
 
Huu ni mgogoro wa kawaida wa kibiashara. Hakuna figisu hapa. Utatatuliwa mahakamani. Hata nyinyi kuna wakati mlizuia maziwa ya brookside kuuzwa huko kwenu.
Screenshot 2021-01-15 09.09.51.png
 
Kwenye finishing bongo hatujawahi kukosea, nenda pale ubongo interchange uone hizo finishing touch mzee, utasema ni mbele
 
Peleka upumbavu kwani Tanzania hatuna maziwa yaani mnagombana kwa ajili ya maziwa ambayo brookside ilichofanya ni kuya-pasteurization na kuya-pack na kuleta! EAC should be for industrial goods kama nyie mna-i,port chakula ni kwa ajili ya uzembe wenu wa kutolima!
Hata sisi tuna manufacture glass. Kwa hivyo hatutaki competition from your companies. Kauzeni Uganda hivyo viglass vyenu. Sisi tuna industries nyingi na hatuhitaji products kutoka kwenu. Hio EAC protocol ni mbaya na Kenya inastahili kuirevoke. Juzi Kenya imekubali kuimport 90,000 tonnes of sugar from Uganda kwa sababu ya EAC protocol.


Hii EAC protocol itakuja kuuwa kabisa industries za Kenya.
 
Wataharibika macho. Halafu ni torture. Tuna waziri wa elimu mjinga sana. Yeye ndio ametoa agizo kwamba wanafunzi wasome nje ya darasa kwa sababu ya kuzuia uambukizaji wa corona. Cha kushangaza ni kwamba waziri huyu ni professor wa medicine na amesoma hadi UK.
[emoji38][emoji38][emoji38]huu ni ujinga kabisa.
 
Back
Top Bottom