MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,088
- 35,425
Hahaha
Mbona hujaulizia vioo vya kisasa vimetengezewa dar 😅😅Lakini hongera kwa mradi huu.
Hahaha. Hajasema hivyo. Labda mtaimport kutoka Kenya.Mbona hujaulizia vioo vya kisasa vimetengezewa dar 😅😅
Hujaona steel zimetoka Zenith Kenya? Au leo unaona aibu kuonyesha pride? 🤣 🤣 ☝️Lakini hongera kwa mradi huu.
Hebu sikiza hii video 🤣🤣👇👇Hahaha. Hajasema hivyo. Labda mtaimport kutoka Kenya.
vioo hapana tuna export glass and cladding products in the region! Hata steel imeeenda Kenya kwavile hamna steel fabricators wa the kind of steel used in the project around Tanzania!Hahaha. Hajasema hivyo. Labda mtaimport kutoka Kenya.
Huu ni mgogoro wa kawaida wa kibiashara. Hakuna figisu hapa. Utatatuliwa mahakamani. Hata nyinyi kuna wakati mlizuia maziwa ya brookside kuuzwa huko kwenu.vioo hapana tuna export glass and cladding products in the region! Hata steel imeeenda Kenya kwavile hamna steel fabricators wa the kind of steel used in the project around Tanzania!
Angalia figisu lenu
![]()
Tanzanian glass company takes KRA to court over 25pc import tax
Kioo claims Kenya recently enacted business laws introducing excise duty on imported glass.www.theeastafrican.co.ke
Hebu sikiza hii video 🤣🤣👇👇
U r already having bragging rights on this!Hahahahaha. Wololo yaye. Hio super-structure (hivyo vichuma) mumeitengenezea Kenya. Halafu huna aibu ya kuja kuturingia humu?
The best 007 Venus Star ichoboy01
Hili jengo walimalize maana tayari litaanza kung'olewa hizo rails za cladding!