Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,792
umeona enhee ati watakamata soko 40%! Nakumatt walisema hivihivi!Hawana lolote hawa wananyemelea dil la BRT watuetee migari yao ya ajabu
umeona enhee ati watakamata soko 40%! Nakumatt walisema hivihivi!Hawana lolote hawa wananyemelea dil la BRT watuetee migari yao ya ajabu
Tamisemi inashugulika na tawala za mikoa na serekali za mitaaMkuu wizara ya tamisemi inashughulika na mambo gani? Bado hujanijibu mkuu.
Ile terminal inawapa bragging rights at JKIA!Sikuwa na habari.
Wanajipiga vidole halafu wanasikilizia orgasm 😀, bongo kuna quality flani hivi ya magari tumeizoeaumeona enhee ati watakamata soko 40%! Nakumatt walisema hivihivi!
Polisi wa kenya ndio hawana aibu, we huoni hao polisi wanajaribu kumsitiri lakini huyo mwanamama ndio anachojoa ili ionekane wanamharas.Hawa polisi wa Uganda jameni. Yaani hata aibu hawana kabisa. Halafu wana unyama sana.
Hio terminal ilijengwa haraka haraka maana terminal yetu ilichomeka kwa moto. Majengo ya JKIA airport ni nzee sana maana airport ilijengwa in the 70s. Kenya inastahili kujenga terminal kubwa na modern na kuhama from those old terminals.Ile terminal inawapa bragging rights at JKIA!
kuna video ya zamani wakati wanamwaga zege la msingi, huyu mhandisi wa Jiji/Mkoa wa mwanza alisema wanangojea vyuma kutoka Kenya na vioo Kutoka Dar.Nimesikiliza video yote. Mhandisi hajasema kioo kinatoka wapi. Yeye tu ndio anajua jibu la hilo swali.
Tamisemi ni Tawala za mikoa na serikali za mitaa. Hiyo wizara kwa awamu hii ya tano iko chini ya ofisi ya Rais na hivyo jina lake kamili ni OR -TAMISEMI.Halafu "Tamisemi" ina maana gani maana naona huyo ni waziri wa Tamisemi.
Chief unanichanganya, mbona mabuda wengine wanaita modern airport?Hio terminal ilijengwa haraka haraka maana terminal yetu ilichomeka kwa moto. Majengo ya JKIA airport ni nzee sana maana airport ilijengwa in the 70s. Kenya inastahili kujenga terminal kubwa na modern na kuhama from those old terminals.
Yaani nimeangalia hiyo floating bridge nikalinganisha na ile render ya Likon Bridge nikatamani hadi kulia. Tumuonee huruma jirani msiba wake ni msiba wetu![]()



ila cha kufurahisha ikabidi ucheke tu....
hiyo bridge ya kupitishia mifugo tungojee majanga tu siku za mbeleniMnatia aibu, hivi mmeshindwa kujenga bridge ya kueleweke hapo mnatuwekea uchafu
Sasa kuna nini cha kuchekesha hapo?
Tuna terminal moja mbili modern lakini zingine sio modern.Chief unanichanganya, mbona mabuda wengine wanaita modern airport?
Nashangaa huyu na hajui Jkia is the king of EA,,top ten best Airport in Africa 🤣🤣Sasa kuna nini cha kuchekesha hapo?
Hao wanadhani just because their newly minted Julius Nyerere terminal is ultra-modern kwamba watatufikia in terms of passenger numbers. Hawajui kwamba there is no correlation between passenger numbers and how modern an airport is. JKIA itazidi kuhandle the highest number of pax in EA.Nashangaa huyu na hajui Jkia is the king of EA,,top ten best Airport in Africa 🤣🤣
jipe moyo ila inside unajua kabisa the figures will change especially with the number of investments zinazofanyika Tanzania kuruhusu Utalii kukua kwa kufikika kirahisi!Hao wanadhani just because their newly minted Julius Nyerere terminal is ultra-modern kwamba watatufikia in terms of passenger numbers. Hawajui kwamba there is correlation between passenger numbers and how modern an airport is. JKIA itazidi kuhandle the highest number of pax in EA.
Cc Geza Ulole.
Mbona ulishauliza hili swali na ukajibiwa?Mkuu wizara ya tamisemi inashughulika na mambo gani? Bado hujanijibu mkuu.
Hio terminal ilijengwa haraka haraka maana terminal yetu ilichomeka kwa moto. Majengo ya JKIA airport ni nzee sana maana airport ilijengwa in the 70s. Kenya inastahili kujenga terminal kubwa na modern na kuhama from those old terminals.



Siku si nyingi utakorofishana na Teargass mana hapendi ukweli.