Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What? Kwa hiyo unadhani “highway” haitumiki marekani? Wewe ni mjinga! Mimi sijakuonyesha picha! Nimekuonyesha neno “super bridge”
Hehehe!!naona umeanza kuchanganya ma-file sasa..
Nimekwambia freeway na super higway ni neno ambalo linatumika kw barabara km hizo..
Sasa wewe km hutaki shauri yako..

Unajua maana ya super bridge kwanza, kw akili zako zako bridge ya design ni ya kwaida wala sio super sio
 
Please do your research kabla ya kujiabisha. All freeways are highways but not every highway is a freeway!
Naona hutaki kukubali baada ya kukwambia hvyo..
Super higway pia inaweza kuwa freeway au bado unapinga
 
Yaani nyie jamaa badala ya kutengeneza Stesheni za treni mumetengeza kumbi za harusi...yaan hzo stesheni zenu ndo kumbi za harusi na mikutano uku Bongo...Nyie Kenya mkoje...mnaenda tofauti kabisa na dunia ya sasa yaan juzi juzi tu jamaa kawachana kuwa Daladala (matatu) zenu uku Bongo tumeziweka kwnye makumbusho ya Taifa kuwa zilitumiwa na akina Nyerere.
kikihboy njoo huku wameanza kuteseka na picha tatu tu
 
Hehehe!!naona umeanza kuchanganya ma-file sasa..
Nimekwambia freeway na super higway ni neno ambalo linatumika kw barabara km hizo..
Sasa wewe km hutaki shauri yako..

Unajua maana ya super bridge kwanza, kw akili zako zako bridge ya design ni ya kwaida wala sio super sio
Kwakweli sitapoteza muda wangu kwa kichwa boba kama wewe. Kwa Heri!
 
DAR
Travelogues-136.jpg
 
Back
Top Bottom