Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
wanahangaika halafu cha kushangaza Kaka yao ametulia tu kwa sasa hana time yakujenga high rise building....by 2010 ilikuwa ni ndoto kutaja dsm na nairobi sehemu moja,but you know what happen ina just 10yrs.
saa hii wacha tuhangaike na sgr train,brt phase zote,na marekebisho machache kama stand na huduma nyingine za kijamii.
hizo tower 3,ndio zinaifanya nairobi kuwa kama haifanyi kitu.
tunawait time yetu kama kawaida


