Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio ni upperhill pekee. Bado kuna CBD na pia kuna westlands. Nairobi tuna 3 business districts na zote zina skyscrappers. Sio kama Dar Slum ambapo mna mahali moja tu ambapo mumemwaga gorofa zote. Hio ni poor planning. Sisi tuna skyscrappers mahali pengi, sio pahala pamoja kama nyinyi
ichoboy01 msikie huyu anakuchokoza huku
 
Kwani ni uongo? Sisi tuna business districts tatu na nyie mna moja. Na kama unapinga nipe majina ya eneo tatu za Dar ambazo zina skyscrappers nyingi. Najua utaniletea zile glass tatu za bluu pekee
Hii density hapa hata uunganishe ghorofa zote za Kenya na Uganda hazifiki na hizo blue towers sizioni

Erc3RP5WMAc1NAK.jpg
 
===
Poverty rate inazungumza zaidi juu ya DAR na NAI.

KENYA, ebu jikague mnakwama wapi.
 
Back
Top Bottom