mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,516
GDP is onother scarmUliza Mwenyezi Mungu. Halafu kimya kimya ujiulize mbona kanchi kame na kadogo kama Kenya kanawatandika kwenye GDP.

.GDP is onother scarmUliza Mwenyezi Mungu. Halafu kimya kimya ujiulize mbona kanchi kame na kadogo kama Kenya kanawatandika kwenye GDP.

.Kwani hujui 3/4 ya Kenya is arid and semi arid land? 80% of Kenya is classified as arid and semi arid lands. Lakini bado mnasoma number yetu licha ya hayo yote. Imagine what would happen tukipewa hiyo nchi yenu that's not arid!!Mbona nchi yenu kame hivi?
Says a Tanzanian full of jealousy 😂 😂GDP is onother scarm.
Ndio maana kila mtu wa huko dream yake ni Nairobi 🙂Kwani hujui 3/4 ya Kenya is arid and semi arid land? 80% of Kenya is classified as arid and semi arid lands. Lakini bado mnasoma number yetu licha ya hayo yote. Imagine what would happen tukipewa hiyo nchi yenu that's not arid!!
Tanzania ina invest kwenye vitu vya maana sana
Aisee ckuwa najua km Tz iliwapa elimu watu wazito hvSitting presidents who have once studied in Tanzania
Ramaphosa
Mnangagwa
Geingob
Nyusi
Ndaishimiye
Kagame
Museven
Kiir






There are 48 million people in Kenya. There are four million people in Nairobi. Natumai jibu ushaipataNdio maana kila mtu wa huko dream yake ni Nairobi 🙂
Fence na jengo la serekali



The burden of proof lies with you Tanzanians. Aliyefungua huu uzi ni Mkenya au mtanzania?hiyo hata wewe huaminivinginevyo usingehangaika kuprove kila siku kwenye huu uzi busy zaidi jamiiforums tokea ianzishwe.
DSM ya sasa iko kwenye race yake,hakuna mji wowote EA na kati unaoweza kuisumbua.
dodoma.
Kila wilaya itapata Veta college, watoto wakimaliza standard seven ni kuchagua tu aende mechanics, technicals, electronics, secondary etcTanzania ina invest kwenye vitu vya maana sana
Says a Tanzanian full of jealousy![]()
![]()


really!!!$100bln,na mnakopa mpaka budget ya nchi
.Ndio maana ukiambiwa Tanzania Ina heshima yake Africa ni kweli, tuliteketeza pesa zetu na kusacrifice uchumi wetu kwa ajili ya wenzetu, tumeanza kupambana kujenga nchi yetu juzi juzi tu lakini pamoja na kuchelewa sana bado tupo njema.Aisee ckuwa najua km Tz iliwapa elimu watu wazito hv![]()
mtz aliyeamua kupasua pazia la hekaluThe burden of proof lies with you Tanzanians. Aliyefungua huu uzi ni Mkenya au mtanzania?

.


Dah ila kenya kwenye high-rise bado sn, ona kulivyo kweupe aisee.
Mpo million 5 kwenye kaeneo ka 690 sqkmThere are 48 million people in Kenya. There are four million people in Nairobi. Natumai jibu ushaipata

