Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good morning, how poor are you? Are you poor like Tanzania that doesn't want to pay her debts?😂😂😂🤣


 
Haha🤣,,wasema hivi ju inakepea pressure??hakuna kitu Tz inacho zaidi ya kenya,,utajua Sasa ukweli through this link
Please endelea kuweka hizo information kabisa. Inaonekana zinaumiza sana😂😂
 
Two Rivers still under construction mpaka ifike hapa😍😍
Screenshot_20210108-232206~2.png
 
Wife uwe unaweka na mji unapotoka kitu ambacho umepost ili tujuwe kwamba nanyi mpo km Tz kwmb maendeleo yapo kila mahali.

Nimesema hv cz wenzetu mmekuwa mkipost Nairobi tu as if Kenya ni Nairobi tu.

Ok anza na hilo gereza utuambie linapatikana wapi turkana au wapi
Ndugu yangu utawafanya wajifiche.
Kitu Kenya hawawezi ni kusema ukweli

Screenshot_20210109-090029.png
 
Ndugu yangu utawafanya wajifiche.
Kitu Kenya hawawezi ni kusema ukweli

View attachment 1672382
Nimemtega tu, hawa jamaa ni totally failed state, hawana jipya kabisa, sisi tunapost modern markets zipo mwanza, mtwara, iringa, Morogoro, Musoma, n.k but wao ni Nairobi tu, hata shule zote Nairobi.

Siku tukianzisha battle ya outside Nairobi, Dar, mwanza na mombasa wataaibika asubuhi asubuhi
 
Back
Top Bottom