Njombe refferal hospital hamtokaa muwe nayo hapo shimoniAsante kwa kupost maternity wing![]()
Is the same person.Wewe nadhani unaconfuse Teargas na Komora.
Hahaha!!! Ni washamba mno.Wakunya wengi humu nafahamu mitandao yao ya kijamii.
Tony254 au unabisha
Kuna mmoja huwa anaponda Dar humu halafu kwenye mtandao mmoja wa kijamii ameweka picha ya maghorofa ya Dar kama profile picture.
Hili jengo hapa chini ndio unaiita water tank? Niliwaambia nyie ni washamba lakini hamkuniaminiNataka kujua tu.
Hiyo black is a house or a water tank!?
View attachment 1672646View attachment 1672647
Usipost details zangu hapa wewe detective. Wewe unapenda upekuzi wa kishenzi sana. Wacha umbea mzee. Japo sio mbaya Geza Ulole akijua kwamba nina 14,000 followers kwa twitter.Wakunya wengi humu nafahamu mitandao yao ya kijamii.
Tony254 au unabisha
Kuna mmoja huwa anaponda Dar humu halafu kwenye mtandao mmoja wa kijamii ameweka picha ya maghorofa ya Dar kama profile picture.
Kuna mmoja kwenye mtandao mmoja wa kijamii kwenye profile yake ameandika eti ni MD wa cash moneyHahaha!!! Ni washamba mno.



so what? wewe unajua twitter handle yangu?Usipost details zangu hapa wewe detective. Wewe unapenda upekuzi wa kishenzi sana. Wacha umbea mzee. Japoaka Geza Ulole ajuwe kwamba nina 14,000 followers kwa twitter.
Komora ni demu teargass pia ni demu, mbn wenyewe hawapingi unapinga ww tony?Wewe nadhani unaconfuse Teargas na Komora.




Okay. Wewe unaona design hiyo ipo sawa!? Be honesty.Hili jengo hapa chini ndio unaiita water tank? Niliwaambia nyie ni washamba lakini hamkuniamini
View attachment 1672770View attachment 1672771View attachment 1672772View attachment 1672769
Tatizo ni kwamba huwa hamuheshimu render, hilo jengo lingejengwa km render ilivyotaka lisingekaa tank la majiHili jengo hapa chini ndio unaiita water tank? Niliwaambia nyie ni washamba lakini hamkuniamini
View attachment 1672770View attachment 1672771View attachment 1672772View attachment 1672769





Another incomplete project?




Aliyekiri kwamba ni nurse ni Komora. Sasa wewe ni ushamba wako ukaanza kubatiza Teargass kwamba yeye pia ni nurse. Teargass hajawahi sema anafanya kazi gani.Komora ni demu teargass pia ni demu, mbn wenyewe hawapingi unapinga ww tony?![]()
Sitopost details zako humu.Usipost details zangu hapa wewe detective. Wewe unapenda upekuzi wa kishenzi sana. Wacha umbea mzee. Japo sio mbaya Geza Ulole akijua kwamba nina 14,000 followers kwa twitter.



Yah ni incomplete cz Tz tumeanza kujenga nchi yetu within 10 yrs, miaka yote nyuma tulikuwa tunasaidia kukomboa nchi za wenzetu, so now tumewaacha wapambane wenyewe zen sisi tumeamua kujenga nchi na ndiyo maana unaona tunaongoza East and central Africa kwa ujenzi.Another incomplete project?![]()
Ww unachanganya habari, komora wala hana taaluma yoyote, ni zuka flani linalodanga kunako Mombasa, ila huyo teargass ni nurse muosha vidondaAliyekiri kwamba ni nurse ni Komora. Sasa wewe ni ushamba wako ukaanza kubatiza Teargass kwamba yeye pia ni nurse. Teargass hajawahi sema anafanya kazi gani.

.Sijakuambia uandike inshaYah ni incomplete cz Tz tumeanza kujenga nchi yetu within 10 yrs, miaka yote nyuma tulikuwa tunasaidia kukomboa nchi za wenzetu, so now tumewaacha wapambane wenyewe zen sisi tumeamua kujenga nchi na ndiyo maana unaona tunaongoza East and central Africa kwa ujenzi.



Unawatisha mkuuSitopost details zako humu.
Mwaka jana kuna wale bloggers wenu kutoka kenya walikuwa wanatumika kueneza uwongo na propaganda kuhusu Tanzania...aisee computer zao nilizikomesha sana.
Nadhani ile ni moja ya computer virus kali kuwahi kutengenezwa hapa Tanzania inayofanya kazi ndani ya muda mfupi tu pale nitakapo kutumia![]()






