Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna kitu mnapost hapo, mnarudia tu mapicha na kupost vibanda. Tukianza kupost picha kama hizo zenu si mtaanza kulia hapa. Kilifi.

Nimeona mmeishiwa, hampost kitu tunapost sisi tu nkaona tuhamie kwenye health au unasemaje, km vp tuendelee na markets, jibu hii zen tuendelee
Kilifi.
IMG_20210109_111118.jpeg
IMG_20210109_111116.jpeg
IMG_20210109_111120.jpeg
 
wewe unataka nipewe ban humu ndani kuna vitu nikiandika wakenya woote hu-gang against me na kwenda kushurutisha mods kuniweka quarantine!

ndo IT expert wao ati!
Wakunya wengi humu nafahamu mitandao yao ya kijamii.

Tony254 au unabisha

Kuna mmoja huwa anaponda Dar humu halafu kwenye mtandao mmoja wa kijamii ameweka picha ya maghorofa ya Dar kama profile picture.
 
Back
Top Bottom