Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Hawana huo ubavu 😁Nimeona mmeishiwa, hampost kitu tunapost sisi tu nkaona tuhamie kwenye health au unasemaje, km vp tuendelee na markets, jibu hii zen tuendelee![]()
Hawana huo ubavu 😁Nimeona mmeishiwa, hampost kitu tunapost sisi tu nkaona tuhamie kwenye health au unasemaje, km vp tuendelee na markets, jibu hii zen tuendelee![]()
Wapo wengi tu, na hata ww unajua kwamba wapo wengi but nmeweka waajiriwa wa kizungu ili niwatishe mana mkenya akiona mzungu chupi zote zinamdondoka












. Kilifi.KilifiNimeona mmeishiwa, hampost kitu tunapost sisi tu nkaona tuhamie kwenye health au unasemaje, km vp tuendelee na markets, jibu hii zen tuendelee![]()



.




Market ya World war II 

Mungu wangu. MnaibiwaHakuna kitu mnapost hapo, mnarudia tu mapicha na kupost vibanda. Tukianza kupost picha kama hizo zenu si mtaanza kulia hapa. Kilifi.
Kilifi.
View attachment 1672751View attachment 1672752View attachment 1672753
Kwamba macho yako yanakuonesha huyu mzungu au sio













Mungu wangu. Mnaibiwa
Hiki kituko?Kisii referral Hospital is better than this thing![]()
Huyo ni mtu wa mkono. Huoni kazi yake ni kuleta tu kisu na kupanguzia mzungu jasho?




Ukiona maneno yamebadilika hv juwa sindano zimeanza kuwakolea, kwa wana psychology hayo ni maneno ya inferiority complexMmepata adabu leo.Kazi yenu ni kupiga tu kelele wakati kwa ground mko zero kabisa![]()









Inferiority complex continuesHuyo ni mtu wa mkono. Huoni kazi yake ni kuleta tu kisu na kupanguzia mzungu jasho?![]()








Umeonaee 🤣Tunapost markets 10 wanapost moja ss ndo battle gn ya kiwaki hii.
Wewe nadhani unaconfuse Teargas na Komora.a.k.a msafisha vidonda![]()
Wakunya wengi humu nafahamu mitandao yao ya kijamii.wewe unataka nipewe ban humu ndani kuna vitu nikiandika wakenya woote hu-gang against me na kwenda kushurutisha mods kuniweka quarantine!
ndo IT expert wao ati!


