Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu toka airport mpaka huko mwaloni wala hajaonana na Magu, leo ndio wataonana ila kwa watu fudenge yule madenge ndio angeenda kumpokea airport na mizinga ya kijeshi na gwaride
Magu ni the most expensive president in Africa, nmeshangaa sn jamaa katembea kote huko bila kuonana na president yn km ni president wa developed countries
 
media za kenya zipo kimya kureport kusaini ujenzi wa sgr.. maana ni msiba kubwa kwao. Ama kweli kuwahi kuanza sio kuwahi kufika...
1000’s km of SGR already signed and under construction

Waziri pamoja na Rais wakati wanatoa hotuba zao fupi, Wote wameomba China kama itaweza toa Mkopo wenye riba nzuri basi wamalizie vipande viwili vilivyobaki.
 
Waziri pamoja na Rais wakati wanatoa hotuba zao fupi, Wote wameomba China kama itaweza toa Mkopo wenye riba nzuri basi wamalizie vipande viwili vilivyobaki.
hivyo vipande vilivyo baki nina uhakika watamaliza hao hao

ila yerp anatuchelewesha sana
 
Mwalimu Nyerere Leadership School
Electronic Reading Room
IMG_20210108_112635_964.jpg
IMG_20210108_112635_964.jpg
IMG_20210108_112642_142.jpg
 
Wakenya mbn mpo kmy au hii Mwanza-Isaka bado hamuamini macho yenu

Wakunya tuliposema tunahitaji nafasi yetu mlidhani tunatania? Tena ss nafasi tutakayokuwa sisi itakuwa ni aibu hata kulinganisha na nchi yoyote EA yn gap litakuwa kubwa mno.

Hebu fikiria electric sgr ikianza ku function alaf isitoshe mikopo ni michache na ya riba nafuu kwmb sehemu kubwa tumejenga wenyewe hamuoni kwamba pesa zitarudi in the near future?

Fikiria umeme tunazalisha wenyewe yn pesa double double zinaingia wkt huo huo deni ni himilivu, je kuna uwezekano wa kujilinganisha na sisi?

Huku sgr, kule meli zinapiga mzigo, pale brt, alafu madege km yote, viwanda bwelele, pia bila kusahau CNG plant is loading.........

Chuma bado hakijaanza kutema, pia kuna ule mradi wa helium unakuja kwa kasi ya light.

Tanzania itakuwa km ulaya soon, hahahahahahaaaaaa.
 
Ila Magu jeuri, yn mchina imebd amfate kwake kabisa na wala hana haja ya kukutana na mchina Dar, as long as amekuja kuomba kazi basi aende kijijini.

Sipati picha ingekuwa ni nchi fulani yn angepokewa capital city angelambwa mpk makalio, hahahahaaa jamaa kwakweli wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwetu
Waziri wa mambo ya nje china kapokelewa na waziri wa mambo ya nje TZ tena sio kwamba Raisi hayupo huko..

Ingekuwa kwa majirani huyo angepokelewa na familia nzima ya Uhuru na baraza la mawaziri lote la majirani
 
Wakenya mbn mpo kmy au hii Mwanza-Isaka bado hamuamini macho yenu

Wakunya tuliposema tunahitaji nafasi yetu mlidhani tunatania? Tena ss nafasi tutakayokuwa sisi itakuwa ni aibu hata kulinganisha na nchi yoyote EA yn gap litakuwa kubwa mno.

Hebu fikiria electric sgr ikianza ku function alaf isitoshe mikopo ni michache na ya riba nafuu kwmb sehemu kubwa tumejenga wenyewe hamuoni kwamba pesa zitarudi in the near future?

Fikiria umeme tunazalisha wenyewe yn pesa double double zinaingia wkt huo huo deni ni himilivu, je kuna uwezekano wa kujilinganisha na sisi?

Huku sgr, kule meli zinapiga mzigo, pale brt, alafu madege km yote, viwanda bwelele, pia bila kusahau CNG plant is loading.........

Chuma bado hakijaanza kutema, pia kuna ule mradi wa helium unakuja kwa kasi ya light.

Tanzania itakuwa km ulaya soon, hahahahahahaaaaaa.
Si mjenge kwanza
Phase ya kwanza yenyewe haijaisha na imeshachukua mwaka wa nne kw route ya 200km..
Kenya tumetumia miaka mitatu na nusu kujenga route ya 600km kwhyo msibwabwaje sana..

Target yetu deni ni 150%, kwhyo tunakopa tu tunamalizia mpka malaba bila wasi wasi
 
Waziri pamoja na Rais wakati wanatoa hotuba zao fupi, Wote wameomba China kama itaweza toa Mkopo wenye riba nzuri basi wamalizie vipande viwili vilivyobaki.
Yup! Hiki kipande nacho kikijengwa then Dar-Mwanza kutakuwa na electrified sgr
 
Si mjenge kwanza
Phase ya kwanza yenyewe haijaisha na imeshachukua mwaka wa nne kw route ya 200km..
Kenya tumetumia miaka mitatu na nusu kujenga route ya 600km kwhyo msibwabwaje sana..

Target yetu deni ni 150%, kwhyo tunakopa tu tunamalizia mpka malaba bila wasi wasi

Naona media za Kenya zimogoma ku-report ujenzi wa SGR lot 5!
 
Si mjenge kwanza
Phase ya kwanza yenyewe haijaisha na imeshachukua mwaka wa nne kw route ya 200km..
Kenya tumetumia miaka mitatu na nusu kujenga route ya 600km kwhyo msibwabwaje sana..

Target yetu deni ni 150%, kwhyo tunakopa tu tunamalizia mpka malaba bila wasi wasi
Mukope kwa nani???👇👇👇👇
 
Back
Top Bottom