komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kilio cha mwakamiaka 8 ya kazi inayopigwa na sgr ya kutishia watoto wasiotaka kula,ni sawa na mwaka mmoja wa modern sgr ya tz,so bado hamjatangulia![]()


Emu rudia tena huenda ukawakosha wenzio
Kilio cha mwakamiaka 8 ya kazi inayopigwa na sgr ya kutishia watoto wasiotaka kula,ni sawa na mwaka mmoja wa modern sgr ya tz,so bado hamjatangulia![]()


Swali lako haliwezi kwenda na uhalisia mm nakujibu kulingana na uhalisia 300km ndio ziko kwenye tender na mwenye tender ni TRC sasa mengine siwezi jibu nje ya hapa🤣🤣👇👇👇Swali ni je zitakua 400km
Mbna swali mboga hilo, ila kw mnenguaji atarukaruka mpka mwaka uishe
Umepanic sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uswazi tupu
Kwhyo sgr route dar moro ni 300kmMm nakujibu swali kwa mujibu wa mwenye tender ni km 300 zikijumlishwa njia za kupishania treni
View attachment 1671636

..


Double track dar moro ni 400kmSwali lako haliwezi kwenda na uhalisia mm nakujibu kulingana na uhalisia 300km ndio ziko kwenye tender na mwenye tender ni TRC sasa mengine siwezi jibu nje ya hapa
View attachment 1671639



Nimekwambia njia ya kwenda moro kwa mujibu wa mwenye tender pamoja na njia za kupishania ni 300km sio mm naesema 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 alielipa fedha ndio kasemaKwhyo sgr route dar moro ni 300km..
Asante sana..
Hata nimeshakuacha, nyie ni wale ikijengwa double track dar moro mtasema ni dar moro ni 400km..
Kilaza detected majamaa
Nimeenda
Hatujengi double track kwa njia yote double track itakua ni baadhi ya njia tu ndio inayoleta total of 300km 🤣🤣 sijui wapi unakwamaDouble track dar moro ni 400km
Nimeshakuachia dunia
Kwhyo sgr route dar moro ni 300km..
Asante sana..
Nimeenda
Nimekwambia njia ya kwenda moro kwa mujibu wa mwenye tender pamoja na njia za kupishania ni 300km sio mm naesemaalielipa fedha ndio kasemaView attachment 1671641
Kilaza detected majamaa
Nimeenda
Hatujengi double track kwa njia yote double track itakua ni baadhi ya njia tu ndio inayoleta total of 300kmsijui wapi unakwama
unatumia nguvu kubwa kukajibu hako kadada,kazito mno kuelewaHatujengi double track kwa njia yote double track itakua ni baadhi ya njia tu ndio inayoleta total of 300kmsijui wapi unakwama

.Kwangu mm ataelewa tu manake hua nakwenda nao hvo hvo akitaka twende kilevi tutakwenda akitaka twende kihuni tutakwenda tu 🤣🤣🤣🤣unatumia nguvu kubwa kukajibu hako kadada,kazito mno kuelewa.
Haha iyo ni moshi tuUna lilia nini🤣Eld iko na towers nanii,mwanza bado Sana
More of Eld
View attachment 1671579View attachment 1671583View attachment 1671584View attachment 1671585View attachment 1671586View attachment 1671587View attachment 1671588View attachment 1671589View attachment 1671590
Pakibabe sanaMwalimu Nyerere Leadership School
Cafe
View attachment 1671602View attachment 1671603View attachment 1671604View attachment 1671605
tuko vizuri,,,ngoma tunamaliza phase zote,,tunaeaacha ngedere wakikenya wakibaki kutoa macho vichakani ilipokwamia sgr yaoMasanja Kadogosa na wenzake washamwaga wino kitu cha 341 Km , Self financing.
View attachment 1671681