Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Swali ni je zitakua 400km
Mbna swali mboga hilo, ila kw mnenguaji atarukaruka mpka mwaka uishe
Swali lako haliwezi kwenda na uhalisia mm nakujibu kulingana na uhalisia 300km ndio ziko kwenye tender na mwenye tender ni TRC sasa mengine siwezi jibu nje ya hapa🤣🤣👇👇👇
B33D3B6B-FFEB-4E2F-846D-A3E6184CD3FD.png
 
Kwhyo sgr route dar moro ni 300km..
Asante sana..
Hata nimeshakuacha, nyie ni wale ikijengwa double track dar moro mtasema ni dar moro ni 400km..

Kilaza detected majamaa
Nimeenda
Nimekwambia njia ya kwenda moro kwa mujibu wa mwenye tender pamoja na njia za kupishania ni 300km sio mm naesema 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 alielipa fedha ndio kasema
B492DC34-DF6B-4EAF-B663-3F8C4E6180E0.png
 
Back
Top Bottom