Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm hua nazungumza na ushahidi sio porojo 👇👇👇👇






Bado Sana,hii inachapwa hadi na Eldoret
daima.jpg
 
Dege lilivyotua Geita Chato

Maendeleo ya Tanzania ni everywhere, wengine ukitoka capital city huko kwengine kote ni majalalani

View attachment 1671423View attachment 1671424View attachment 1671425View attachment 1671426
Ila Magu jeuri, yn mchina imebd amfate kwake kabisa na wala hana haja ya kukutana na mchina Dar, as long as amekuja kuomba kazi basi aende kijijini.

Sipati picha ingekuwa ni nchi fulani yn angepokewa capital city angelambwa mpk makalio, hahahahaaa jamaa kwakweli wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwetu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom