Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunasubiri undava wa mchina kwenye terminals 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

2326682_89028196_3397097220307091_4211015482276225772_n.jpg
2326678_ESRXtMmXkAE5N3K.jpeg
2326682_89028196_3397097220307091_4211015482276225772_n.jpg
maxresdefault (20).jpg
maxresdefault (21).jpg
 
Sisi wachina tumeanza nao tangu zamani sana miaka ya 60's kuanzia kujenga reli na barabara. Hatujawajua leo kama nyie ndo maana wanawapelekesha na kuwaingiza mkenge kiboya boya. Na hapa Tz wapo miaka mingi wanafanya kazi za ujenzi hivyo tumefanya nao kazi nyingi, tumewazoea na tunawajua ndiyo maana hawawezi kutuletea upimbi na wakijaribu tunawatimua. Siyo kama nyie mnawatetemekea mpaka wanawatandika viboko/fimbo matakoni watu wazima na familia zenu. NYAMBAFU!
Leo yamekua hayo, kwn european standards hamuitaki tena

Mara ya kwanza mlimkejeli kisa mturuki kakubali pesa kidogo sasa madhar yake mumeanza kuyaona imebidi mrudi kw mchina..
Ila poleni sana jamani, sai ingelikua mnachanga mbuga dar moro lkn mturuki hakuwapenda
Itabidi mumpeleke mahakamani
 
Ushaanza kua pc mbovu, ingekua sifa sana kama tungeanza first electric sgr ikiwa double stack
Mumetandikwa wajumbe, kubalini tu jamani wala hamtokufa...
Mturuki sijui mwaka wa ngapi huu ana haha tu
 
League ilikua za shule za msingi au shule kwa ujumla kwanza shule zipi mlizopost? Hata sijaona!
Kujitoa ufahamu pia sio mbya..
Mliona hali ya primary ni mbaya tena zetu za slums ikabidi mkashoot mpka kw technical schools..
 
Good afternoon ichoboy01? was passing by again nikaona bado unalia lia na Mombasa😂😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 One area!! Eldoret kiboko ya Mwanza kabisa😂😂😂😂 cant even level with Machakos, Thika na Kiambu residentials kamwe! mbona kujifariji kaka?🤷‍♂️😂😛
Ukipata such👇👇 in Mwanza nafunga account!



Na ukipata residential Mwanza kama yenye iko hapa👇👇Eldoret nitag please..,


🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 kiboko yake iko hapa ikiweza kutoka hapa nitag 🤣🤣🤣👇










 
Bro hapo pa ku talk less and do more umedanganya😂😂😂 mnapayuka sana! Kelele kibao kutoka kwa mukulu na uzinduzi, mawaziri, na raiya, ni muda mrefu hamjaona maendeleo bado mnashangaa shangaa! Mlianza kwa kusherehekia lift, sasa ni flyovers na ni chache bado😂 wenzako wanakiri😂😂
👇👇👇
View attachment 1671016
I meant kwamba nyie mna-boast sana kuhusu nchi yenu kulikohali halisi wakati sisi tukisema jambo ni kweli siyowatu wa kupika data na kujitukuza bila sababu. We always speak the truth as far as our country/nation is concerned, we never cook data or make baseless boasting.
 
kampuni iliyo tengeneza sgr ya kenya ni CRBC ambao sio speciality yao as compared to CCECC and CRCC ambao ndio wabobevu tena wanashirikiana kujenga electric sgr ya tanzania. hili kweli limeniondo shaka kuhusu quality to expect pamoja na Chinese's foreign minister akiwepo leo sidhan kama watajaribu kuvurunda
 
Sijawahi kuona mkenya kilaza kama wewe, tunnels atengeze za kuaccommodate double stack, cable avurunde? Kaa kushoto na argument zako za kipimbi
Lete ushahidi hapa wa tunnels za double stack..
Cable tayari keshachemsha, we wajua cables za double stack zinakaje kwanza au ni kelele unatupigia tu hapa..

Huyo mkorea anawauzia treni zipi hzo za double stack
 
Engineers,naomba mnisaidie hizi barabara kuna utofauti kati ya tarmac na asphart concrete???..na ipi ya kibabe kati ya hizo??
 
Lete ushahidi hapa wa tunnels za double stack..
Cable tayari keshachemsha, we wajua cables za double stack zinakaje kwanza au ni kelele unatupigia tu hapa..

Huyo mkorea anawauzia treni zipi hzo za double stack
LOL kwa hiyo serikali iliyoagiza 50 double stack container wagons hawana akili, wewe ndio mwenye nazo?
 
Back
Top Bottom