Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha eti mombasa ishindane na mwanza🤣🤣🤣👇👇


Good afternoon ichoboy01? was passing by again nikaona bado unalia lia na Mombasa😂😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 One area!! Eldoret kiboko ya Mwanza kabisa😂😂😂😂 cant even level with Machakos, Thika na Kiambu residentials kamwe! mbona kujifariji kaka?🤷‍♂️😂😛
Ukipata such👇👇 in Mwanza nafunga account!



Na ukipata residential Mwanza kama yenye iko hapa👇👇Eldoret nitag please..,

 
Reli yenu ni inabeba double stack..
Nyie ndio mumetandikwa
Hizi 50 double stack wagons tutaenda kuziendeshea kwenye white elephant yenu? 🎃🎃🎃

Screenshot_20210107-153021.png
 
Mna uhaba wa madarasa nchi nzima na hyo ni fact, sasa hapo mumendelea wapi katika sekta ya elimu..

Au maendeleo ni kufanya vitu ambavyo mwenzio kakutangulia karne iliyopita

Kweli maskini akipata matako hulia mbata..
Yani mumejenga madaraja, barabara karne hii basi mnajikuta hamna km nyinyi dunia nzima
Wewe endelea kubwabwaja tu while East Africa's super power is loading at amazing speed!
 
habari kama hizi ni mbaya sana kwa wakenya
View attachment 1670962
Hii technique anayotumia jiwe ni the best sn, yn kipande hiki wanajenga waturuki, kipande hiki wachina lkn treni wata supply wakorea, yn hapo wanashindana ili kutoa kitu quality wapate tenda zingine.

Sio km jamaa zetu kila kitu wamempa mtu mmoja mwishowe anafanya kazi kwa mazoea cz hata akiharibu tender zipo tu.

Big up to My president, H.E Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mr. SGR buldozer kiboko ya Mungiki
 
Hahahaha sijategemea kujua wakenya hawana shule kabisa, sasa hiyo elimu wanaosema ipo juu wanajifunzia wapi?
Kwao elimu nikujua kuongea english tu wanadhani ukiongea kiswahili basi huna elimu. Na hii kasumba ni muda mrefu sana Kenya hata ndani ya Kenya yenyewe japo kwa sasa imepungua sana na wengi wanaanza kuzungum,za kiswahili.
 
Hii technique anayotumia jiwe ni the best sn, yn kipande hiki wanajenga waturuki, kipande hiki wachina lkn treni wata supply wakorea, yn hapo wanashindana ili kutoa kitu quality wapate tenda zingine.

Sio km jamaa zetu kila kitu wamempa mtu mmoja mwishowe anafanya kazi kwa mazoea cz hata akiharibu tender zipo tu.

Big up to My president, H.E Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mr. SGR buldozer kiboko ya Mungiki
Sio wamempa, hawawezi kuchagua constructor sababu jeuri ya pesa hawana, wao wametoa eneo tu mchina atajenga kwa viwango anavyojua yeye na kujisimamia mwenyewe na kuendesha mwenyewe miaka zaidi ya 30 mpaka atosheke ndio awakabidhi 🤣
 
Kwao elimu nikujua kuongea english tu wanadhani ukiongea kiswahili basi huna elimu. Na hii kasumba ni muda mrefu sana Kenya hata ndani ya Kenya yenyewe japo kwa sasa imepungua sana na wengi wanaanza kuzungum,za kiswahili.
Wapuuzi sana
 
Unaweka mpk mitumba mnayobadilisha lebo
emoji3.png
emoji3.png
emoji117.png
emoji117.png
emoji205.png
emoji205.png
emoji90.png
emoji90.png
Unaweka mpk mitumba mnayobadilisha lebo
Kenya EPZ export more apparel under AGOA than tz so l can understand the jealousy,We export LEVIS,WRANGLER,CALVIN KLEIN,VICTORIA SECRET GARMENTS and many more.
1FDD3DFD-BBD5-47B4-9631-67DD92131A46.jpeg
BFB10D17-5301-413D-96E0-375B74EDED95.jpeg
AB93C691-3579-4F0A-9DC2-764EE62AED3B.jpeg
A8B81A9A-79B2-421E-AC04-BD21A4BDB91A.jpeg
119A4B66-52B0-4099-A47D-68042571E023.jpeg
Do your research first before posting nonsense,mature up!
232ACC28-5D74-4205-8F85-BA5BC9930DE6.jpeg
 
Back
Top Bottom