Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


unique si zile flats wabongo wanaziita shule
2017-12-11.jpg
2016-08-21.jpg
IMG20190817145910.jpg

Kenya high,,
 
Naona ushaingia international schools. Postini zenu zote mkishamaliza mtuambie tupost za Kenya. Alafu msilie venye mmelia kwa Secondary za public.
🤣🤣🤣🤣🤣 Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini

Pamoja na hivyo bado tumewakalisha 😂😂😂😂
 
Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini

Pamoja na hivyo bado tumewakalisha
Hehehe sikujua ntaona siku watanzania wanalia hivi. Jana usiku mlijichocha na hizo shule zenu za matope na vumbi, sasa saa hii mnalia
 
Back
Top Bottom