Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
MatopePatandi Special Needs Secondary School
View attachment 1668573View attachment 1668574View attachment 1668575View attachment 1668577View attachment 1668578



TwenzetuWakuu huyu mbwa anataka nasisi tulete shule za kidini humu au turuke naye wakuu mnasemaje nawasikilizaView attachment 1668541
Umefungua video? 🤣🤣🤣😉Matope![]()
Tulileta Secondary schools that are better than Universities mkaanza kuliaUmefungua video?
Leta shule kama hiyo Kenya nzima, tafuta hata hizo zenye church sponsorship![]()




. Paved everywhere, sio zile matope na vumbi nimeona wengine wakipost hapa

Sasa haya Mambo ya Dodoma tukiwaletea si mtahama kabisa JF 🤣🤣🤣🤣🤣Tulileta Secondary schools that are better than Universities mkaanza kulia![]()


. Postini zenu zote mkishamaliza mtuambie tupost za Kenya
. Alafu msilie venye mmelia kwa Secondary za public.
Sasa haya Mambo ya Dodoma tukiwaletea si mtahama kabisa JF
View attachment 1668587View attachment 1668588View attachment 1668589View attachment 1668590View attachment 1668591View attachment 1668592View attachment 1668593
Songwe hiyo!
🤣🤣🤣🤣🤣 Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidiniNaona ushaingia international schools. Postini zenu zote mkishamaliza mtuambie tupost za Kenya
. Alafu msilie venye mmelia kwa Secondary za public.
![]()
Hehehe sikujua ntaona siku watanzania wanalia hiviHakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini
Pamoja na hivyo bado tumewakalisha![]()


. Jana usiku mlijichocha na hizo shule zenu za matope na vumbi, sasa saa hii mnalia


Na hapo bado hamjaingia hata kwenye zile shule za technicalHakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini
Pamoja na hivyo bado tumewakalisha![]()


