Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


unique si zile flats wabongo wanaziita shule
2017-12-11.jpg
2016-08-21.jpg
IMG20190817145910.jpg

Kenya high,,
 
Nataka mtanzania mmoja ajitokeze atutajie private school moja umeona mkenya yeyote akipost hapa[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Umefungua video? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji6]

Leta shule kama hiyo Kenya nzima, tafuta hata hizo zenye church sponsorship [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulileta Secondary schools that are better than Universities mkaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona ushaingia private schools[emoji23][emoji23][emoji23]. Postini zenu zote mkishamaliza mtuambie tupost za Kenya[emoji23][emoji23]. Alafu msilie venye mmelia kwa Secondary za public.[emoji1787]
 
Naona ushaingia international schools[emoji23][emoji23][emoji23]. Postini zenu zote mkishamaliza mtuambie tupost za Kenya[emoji23][emoji23]. Alafu msilie venye mmelia kwa Secondary za public.[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini

Pamoja na hivyo bado tumewakalisha 😂😂😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini

Pamoja na hivyo bado tumewakalisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hehehe sikujua ntaona siku watanzania wanalia hivi[emoji23][emoji23][emoji1787]. Jana usiku mlijichocha na hizo shule zenu za matope na vumbi, sasa saa hii mnalia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini

Pamoja na hivyo bado tumewakalisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hapo bado hamjaingia hata kwenye zile shule za technical [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom