Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kakamega hospital
images (2).jpeg
images.jpeg
 
Hahahaaaa, unapeleka wapi ss
Hamna Mtanzania anayenunua kuku sokoni Mjini Dar na kuisafirisha nyumbani ili kuikula wakati wa siku kuu? Au nyinyi huwa hamkuli kuku? Ndio maana narudia tena, Mtanzania akinunua kuku ili asherehekee siku kuu atakatazwa kupanda basi la BRT?
 
Hamna Mtanzania anayenunua kuku sokoni Mjini Dar na kuisafirisha nyumbani ili kuikula wakati wa siku kuu? Au nyinyi huwa hamkuli kuku? Ndio maana narudia tena, Mtanzania akinunua kuku ili asherehekee siku kuu atakatazwa kupanda basi la BRT?
Wallahi jamii forums sihami
 
joto la jiwe wewe ndio uliniambia kuwa ugatuzi haujasaidia Kenya kwa njia yoyote ile. Ona hospitali iliyojengwa na gatuzi la kakamega

2654045_images_2.jpeg
2654046_images.jpeg
 
Mtu wa Div 4 hata hajui mapua yake iko upande gani ya mwili ndio ataweza kufanya analysis iliyonyooka namna hio? Analysis ya namna hio inafanywa na watu walio na akili nyepesi sio watu wenye akili nzito kama ugali. Huyo jamaa sio wa Div 4
Njoo mumsikilize huyu nyang'au huku. Millard Ayo anatikisa dunia na div 4 yake, vipi unashangaa mambo madogo kama haya?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
joto la jiwe wewe ndio uliniambia kuwa ugatuzi haujasaidia Kenya kwa njia yoyote ile. Ona hospitali iliyojengwa na gatuzi la kakamega

View attachment 1664575View attachment 1664576
Serikali zikiwekeza sana kwenye miradi kama hii maji umeme na miundombinu ya barabara tunaweza kuchomoka kwenye uchumi wa kati wa chini kwenda ule wajuu mapema tu...hapo maisha yatakua yameboreshwa sana na life expectancy itaongezeka
 
Back
Top Bottom