Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi. The city of lights.
EqmespjXcAIML6W.jpeg
 
Ebu tuonyeshe penye mliagiza. Your SGR will never be double stack.
Hahahaha, eti double stack wagon ndio mumeona ni kitu cha maana Sana, tumeagiza kama 25 double stack wagons.

Hivi kuwa na double stack mnahisi ni kitu cha maana Sana?. Sisi train yetu inabeba tani 10,000 kwa train moja, itakua na urefu wa 2Km. Ninyi train lenu hilo lina uwezo wa kubeba tani 4000 kwa train moja na lina urefu wa 1km tu.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka Huu pia ndege mbili aina ya Airbus zitakuja
Ndege ambazo zinawekwa kwenye parking na kupata kutu? Ndege ambazo haziwezi kutoka nje ya Tanzania kwa sababu mkulima anataka kuzikamata?
 
Ndege ambazo zinawekwa kwenye parking na kupata kutu? Ndege ambazo haziwezi kutoka nje ya Tanzania kwa sababu mkulima anataka kuzikamata?
Soko letu la ndani ni kubwa mno,

Zanzibar
Dar Es Salaam
Mwanza
Kilimanjaro
Arusha
Dodoma
Mbeya
Kigoma
Bukoba

Other destinations

Mtwara
Shinyanga
Tabora
Iringa
Chato
Katavi
Musoma
 
Back
Top Bottom