Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Jibu swali. Atakatazwa kupanda?Wallahi jamii forums sihami![]()
Jibu swali. Atakatazwa kupanda?Wallahi jamii forums sihami![]()
Umeona hio render na hio real pic zilivo kama mbingu na ardhi 🤣🤣🤣 na ww unashangilia piaDevolution inafanya kazi.
joto la jiwe ona hospitali lililojengwa na gatuzi la Kakamega. Wewe ndio uliniambia kuwa Ugatuzi haijasaidia Kenya kwa lolote.
Wewe huwa muungwana sana. Nakubaliana na kauli yako Boss.Serikali zikiwekeza sana kwenye miradi kama hii maji umeme na miundombinu ya barabara tunaweza kuchomoka kwenye uchumi wa kati wa chini kwenda ule wajuu mapema tu...hapo maisha yatakua yameboreshwa sana na life expectancy itaongezeka
Hii ni hospitali kubwa na itasaidia sana. Sasa wewe mtu wa render nenda kalilie chooni kwamba hazifanani.Umeona hio render na hio real pic zilivo kama mbingu na ardhi 🤣🤣🤣 na ww unashangilia pia
Tanzania is the smartest country in the region, we always spend much time during planning before we go to the field.Uganda airline imeanzishwa juzi na tayari iko na more international routes kuliko ATLC (Any Time Cancellation Limited)![]()
Nakuru County referral Hospital. Our county governments are doing things that can only be done by grants and donations in Tanzaniajoto la jiwe wewe ndio uliniambia kuwa ugatuzi haujasaidia Kenya kwa njia yoyote ile. Ona hospitali iliyojengwa na gatuzi la kakamega
View attachment 1664575View attachment 1664576


Hazipo tofauti sana. Wivu inakutafuna.Look render and real pic alaf tel me sasa 🤣🤣🤣🤣 yani ni mbingu na ardhi
Kwani ww macho nikipofu embu nionyeshe nimeongelea mifugo? Au mifuko hamuijui uko...ayo masalfate mashangaz kajUmeona mifugo hapo? Umeona kuku hapo?



sasa unazan kuku itakosekana km wasafir ndio hao 





Km wamebeb mamifuko hvyo bc kuku haiwez kukosa humoUmeona kuku wapi hapo wewe Mlazy?





Bro ww akili iko sawa kweli mbona unanitisha tony 🤣🤣🤣🤣Hazipo tofauti sana.
Leta financial statement ya ATCL.Tanzania is the smartest country in the region, we always spend much time during planning before we go to the field.
Uganda doesn't have domestic routes, all they depend are International routes, ATCL 60% depends on domestic routes. For ATCL, domestic routes are shock absorbers of International routes, that's why ATCL has better business prosperity than any other Airline in the region.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mkiguswa kidogoo milio mingiii




pole sana zimesha agizwa sasa kufa kbsa

Why can't you then go back to South Africa? I heard that you were suppose to start London routes in 2020, what happened? What happened to the China route that ATCL was to do in 2020?
Tanzania is the smartest country in the region, we always spend much time during planning before we go to the field.
Uganda doesn't have domestic routes, all they depend are International routes, ATCL 60% depends on domestic routes. For ATCL, domestic routes are shock absorbers of International routes, that's why ATCL has better business prosperity than any other Airline in the region.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
mbona hii maneno imekaa kiuchovu?
ATCL bado investment inaendelea bado kuna ndege nyingi zinakuja mzee subirini kidogo tuLeta financial statement ya ATCL.

Mkiguswa kidogoo milio mingiiipole sana zimesha agizwa sasa kufa kbsa
Shida yako ni kuwa hospitali kubwa yenye vifaa ijengwe kusaidia umma au hospitali ifanane na render? Hata nyinyi huwa mnabadilisha design. Waziri wenu juzi alikuwa Dodoma akiangalia ujenzi wa hoteli na alikuwa analalamika kuwa design imebadilishwaBro ww akili iko sawa kweli mbona unanitisha tony 🤣🤣🤣🤣
View attachment 1664587View attachment 1664586