Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

If you think that $60m will get you both passengers rolling stocks plus double stack wagons then I'm sorry for you
Lakini cha ajabu hushangai tanzania kujenga modern electric railway by half of price kenya used to build ???🤣 au hii maneno niweke pembeni
 
So kama investment inaendelea hamtengenezi financial statements? Sijaona mtu mjinga kama wewe
Ww unataka za nn na bado ushaambiwa investment inaendelea?? Tumeagiza ndege zingine 7 wacha zije kwanza zianze kazi alaf ulizia alaf ufananishe na hio airline miak 30 inamiliki ndege tatu na loss zinazotisha africa
 
Alaf inasaidia nn ikishafanya hvo ??? Hvi mbona washamba nyinyi sasa kufanya hvo ndio nn kwamba nyie bora munakunya ice cream😅😅😅 yani munaskitisha kweli
Hahaha. Leo ndio mara ya kwanza kuona ichoboy akihisi wivu nzito iliyokoleza. Duh pole kwa maumivu. Ndio, tunakunya icecream. Tuonyeshe fireworks za Dar
 
Kilifi county hospital,
images (1).jpeg
images (3).jpeg
 
Hawa jamaa wanachanganyikiwa muda si mrefu shirika lao lina miaka zaidi ya 40. ATCL bado haijafikisha hata 5 years
Acha wajihangaishe wakat kuna ndege 7 jumla zimeagizwa moja inawasili keshokutwa hapa 🤣🤣🤣
 
Which prosperity are you talking about? Why can't you then go back to South Africa? I heard that you were suppose to start London routes in 2020, what happened? What happened to the China route that ATCL was to do in 2020?
Ona hii nyani yn imesahau km huu mwaka umeathiriwa na nn, haijui km airline industry umeathiriwa na nn mwaka wote wa 2020.
 
Hahaha. Leo ndio mara ya kwanza kuona ichoboy akihisi wivu nzito iliyokoleza. Duh pole kwa maumivu. Ndio, tunakunya icecream. Tuonyeshe fireworks za Dar
Hapana ni ujinga sasa ww unashangilia fataki inasaidia nn wakat munazidi kuumia na inflation 🤣🤣 yani mambo ya msingi hamunayo kichwani kabisa

 
Ww unataka za nn na bado ushaambiwa investment inaendelea?? Tumeagiza ndege zingine 7 wacha zije kwanza zianze kazi alaf ulizia alaf ufananishe na hio airline miak 30 inamiliki ndege tatu na loss zinazotisha africa
As long as ACTL inafanya biashara basi lazima iwe na financial statement. Tupe hio financial statement.
 
joto la jiwe wewe ndio uliniambia kuwa ugatuzi haujasaidia Kenya kwa njia yoyote ile. Ona hospitali iliyojengwa na gatuzi la kakamega

View attachment 1664575View attachment 1664576
Hakuna kitu ambacho hakina msaada, hata mavi ambayo hatupendi hata kuyaona baada ya kukuja, bado yanatumika kuzalisha mbolea na gesi, ila kwa Kenya Ugatuzi unasababisha hasara zaidi kuliko faida.

Tanzania tunaongoza hapa Africa kwa sasa kwa kujenga miundo mbinu, bila ugatuzi. Ugatuzi unaongeza gharama za kuendesha serikali, unaongeza rushwa, unaongeza ukabila na Nepotism, ni kikwazo kwa umoja wa kitaifa, unasababisha wizi na matumizi mabaya ya pesa za nchi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Yani watanzania ni wajinga kweli. Hiyo hospitali ya Kakamega was to be built in phases, sasa nawashangaa mkitaka phase 1 ifanane render yote.
 
Hahaha. Leo ndio mara ya kwanza kuona ichoboy akihisi wivu nzito iliyokoleza. Duh pole kwa maumivu. Ndio, tunakunya icecream. Tuonyeshe fireworks za Dar
Tukuoneshe fireworks zinasaidia nn ??? Au zinawapa chakula kibera hvi tony umekuaje ww🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom