Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Eish hii ni gani?Crystal rivers mall,
View attachment 1664553
Eish hii ni gani?Crystal rivers mall,
View attachment 1664553
Kwenye malls huwa tumewapiga Watanzania kama mbwa koko. Hata hao wanajua. Hata tuliwacha kupost malls maana wao wana malls tatu tuColoho mall,
View attachment 1664554
Hahahahahahha yule alikuwa anajichocha kuwa hawapandish kuku na mifuko bado yupo




Aloo km mbele aisee.halafu wanalinganisha.View attachment 1664519View attachment 1664520
Kwa hivyo Watanzania wenye gunia wanakatazwa kupanda basi za BRT?Hahahahaaaaaa, tony aliniuliza kuhusu kusafiri na mifugo pamoja na magunia ya viazi kwenye mabasi yetu akanishangaza sn, kumbe kwao ni kawaida![]()
Hahahahahahha yule alikuwa anajichocha kuwa hawapandish kuku na mifuko bado yupo![]()
Imejengwa na safaricom pension staff.Eish hii ni gani?
Reasoning styles za namna hii ndio huwa hawaamini kwamba una div4Hahahaha, eti double stack wagon ndio mumeona ni kitu cha maana Sana, tumeagiza kama 25 double stack wagons.
Hivi kuwa na double stack mnahisi ni kitu cha maana Sana?. Sisi train yetu inabeba tani 10,000 kwa train moja, itakua na urefu wa 2Km. Ninyi train lenu hilo lina uwezo wa kubeba tani 4000 kwa train moja na lina urefu wa 1km tu.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app




Umeona kuku wapi hapo wewe Mlazy?Hahahahahahha yule alikuwa anajichocha kuwa hawapandish kuku na mifuko bado yupo![]()
Iko poa sana.Imejengwa na safaricom pension staff.
Ndo mana hakunaga vita nchi hii mana kila mtu anapewa heshima yake anayoistahili.Rais wenu ni miungu wenu. Mnawaabudu.
Your SGR will not have double stacked wagons.Reasoning styles za namna hii ndio huwa hawaamini kwamba una div4![]()

Mtu wa Div 4 hata hajui mapua yake iko upande gani ya mwili ndio ataweza kufanya analysis iliyonyooka namna hio? Analysis ya namna hio inafanywa na watu walio na akili nyepesi sio watu wenye akili nzito kama ugali. Huyo jamaa sio wa Div 4Reasoning styles za namna hii ndio huwa hawaamini kwamba una div4![]()
Tena zitakuwa customized....so zita vutia kuliko zile za kwanzaMwaka Huu pia ndege mbili aina ya Airbus zitakuja
Hii lugha ndio ulishindwa kabisa kui manage aisee.So ATCL only have four international routes?![]()
Wacha malls, vitu vingi sana tunawachapa. Hawa watoto wadogo sana kwetu. Nikiingia beast mode naeza jaza uzi.Kwenye malls huwa tumewapiga Watanzania kama mbwa koko. Hata hao wanajua. Hata tuliwacha kupost malls maana wao wana malls tatu tu
Hahahaaaa, unapeleka wapi ssKwa hivyo Watanzania wenye gunia wanakatazwa kupanda basi za BRT?




Uganda airline imeanzishwa juzi na tayari iko na more international routes kuliko ATLC (Any Time Cancellation Limited)Hii lugha ndio ulishindwa kabisa kui manage aisee.

