Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Wacha 2020 iishe kwanza ndio upewe dataLeta data za 2020.
Wacha 2020 iishe kwanza ndio upewe dataLeta data za 2020.
Longest kilometres of railway nayo tumewaacha mbaliNilishawaambia tuwewapiga gap kwenye airports pia Tony254 akabisha! sasa ku-mention airports zao mbovumbovu kaamua kuzikana! wangoje gap lingine kwa SGR baada ya train zetu kuwasili toka South Korea! Kwenye marine services hawatukaribii hata kiduchu as far as marine vessels operation is concerned!
Wao husuburi mchina awafanyie kila kituWatanzania kama mmeanza ku notice ni kwamba wakunya wameshaanza kuiogopa Tanzania, wameanza kudevelop kamsemo kwmb projects zote za Tz zinafanywa na serikali, for that issue it means they have agreed that our Government is strong enough to finance big projects, na kwmb wamekubali hata hii SGR from Dar to Moro has been financed by the mighty GoT(case closed).
Kuhusu serikali ya Tanzania kufanya kila kitu we have nothing to do with that shit because hatujaikataza serikali yao iache kuomba omba na kutia aibu East Africa, cz tunajua ni shida tu ndo zinafanya wajidhalilishe.
So ndugu zangu tuanze kutembea kifua mbele mana hawa monkeys wameshaanza kutuhofia, nenda platforms zote wimbo wao kwa ss ni huu "GoT inafanya kila kitu" as if ni dhambi kufanya hivyo![]()



Hata public transport hawatukaribii kabisa, na cku hz hawa post kabisa utumbo wa ma3Longest kilometres of railway nayo tumewaacha mbali




Basi kaa kimya tukunyooshe. Corona ikewanyooosha deadlyWacha 2020 iishe kwanza ndio upewe data
Muongeaji ni huyu 🤣🤣🤣👇👇👇Sasa watanzania sababu forum ni yenu mko weeengi mnasaidiana kueneza uwongo huku mkilemea wakenya wachache wako hapa




Mkenya mpya kaingia kusaidia wenzake.Muongeaji ni huyu 🤣🤣🤣👇👇👇
View attachment 1663233
Hahahaaàa
Tukusaidieje?Sasa watanzania sababu forum ni yenu mko weeengi mnasaidiana kueneza uwongo huku mkilemea wakenya wachache wako hapa
Mbona hata kenya mmepave only 10% au mmesharidhika?
and why are your road networks so poor mnajenga tu dar lakini kwingine mnawacha kubovu. maajabu
jibu hilo kwanza mbona njia zenyu ni mbovu mikoani kumbe mnajenga dar tu ili hali kwingine kubovuTukusaidieje?
Huwa wanamiliki ID mbili mbili...ID ya kwanza ikila spana anahamia kwenye ID ya pili kwa muda usio julikanaMkenya mpya kaingia kusaidia wenzake.



Nimeshakujibu hapo juujibu hilo kwanza mbona njia zenyu ni mbovu mikoani kumbe mnajenga dar tu ili hali kwingine kubovu
Mbona hata kenya mmepave only 10% au mmesharidhika?
www.kenha.co.ke
70% ur assSome real data usiongee tu ndo kufurahisha roho sisi almost 70% is in good condition not that terrible state nimeona hapo hata nimeshtuka kumbe ni kelele tu mtandaoni ilihali hakuna kitu mnafanya kurembesha tu mji mikoani kunaozaHome - Kenya National Highways Authority
On-Going Projects Maintenance Projects Completed Project Planned Projects Mwache Junction – Tsunza – Mteza Mombasa – Mtwapa – Kilifi Athi River – Machakos Turnoff Nairobi Western Bypass Nairobi Expressway Naivasha – Njabini (C67) Road Project Mombasa – Mariakani (A109) Highway project Lot 1...www.kenha.co.ke