Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wikipedia ni ujinga embu angalieni

KENYA
2020-12-30%2019.13.48.jpg
 
kwa hiyo mwaka kama haujaisha ,inamaana shughuli za kiuchumi huwa haziendelei kwenye port yenu..?
Ripoti huwa zinaandaliwa baada ya mwaka kuisha. Mbona nyinyi Watanzania ni wajinga wajinga hivi? Utaandaje ripoti ya 2020 kabla ya 2020 kuisha? Akili kichwani mzee
 
Ww fala don't be dumb, ur country got to be in quarantine while we were working so don't be surprised with the results, just prepare urself for bad outcomes not only in marine industry but also in all sectors.

We shall adversely beat you everywhere.
My friend hamtawahi kuwa na more passengers in your airports than us. Hamtawahi kupakua tani nyingi za mizigo in your ports kutushinda. Mark my words.
 
Ww fala don't be dumb, ur country got to be in quarantine while we were working so don't be surprised with the results, just prepare urself for bad outcomes not only in marine industry but also in all sectors.

We shall adversely beat you everywhere.
Yes, we were under lockdown yet our economy expanded more than yours.
Our banks performed better than your banks.
 
Kenya ilipakua tani 34 million mwaka wa 2019. Sasa sijui mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe?
Mlikuwa quarantine hamuwezi kwenda sawa na cc, lkn pia Dar port kwa ss ndio kimbilio la wafanyabishara EA so nilitegemea hilo kutokea.
 
Ripoti huwa zinaandaliwa baada ya mwaka kuisha. Mbona nyinyi Watanzania ni wajinga wajinga hivi? Utaandaje ripoti ya 2020 kabla ya 2020 kuisha? Akili kichwani mzee
ripoti siyo lazima mpaka mwaka uishe...

kuwa na akjli timamu huwa kuna short term report na long term report...

usiwe mshamba
 
Back
Top Bottom