Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani hata unajiskiliza mwenyew? Ivi ng'ombe wengi wako Tz alfu maziw mengi muwenayo nyie? Narudia bongo data za maziwa hazijakusanywa vyema...wanachukua tu kwa wale wazalishaj wakubwa kama Tanga fresh, azam, asas na wengine...lkn kuna commoners wenye ng'ombe weng tu ila serikali haina data zao....so mnatushinda kwa kukusanya data sio kwa kiwango cha maziwa.
Having many cows doesn't result to high production
 
Plastic pipe Factories in Tanzania
Leo mikong'oto mwanzo mwisho
unnamed (8).jpg
RG1A5144.JPG
WhatsApp Image 2019-03-29 at 6.24.29 PM(1).jpeg
unnamed (7).jpg
 
Yani hata unajiskiliza mwenyew? Ivi ng'ombe wengi wako Tz alfu maziw mengi muwenayo nyie? Narudia bongo data za maziwa hazijakusanywa vyema...wanachukua tu kwa wale wazalishaj wakubwa kama Tanga fresh, azam, asas na wengine...lkn kuna commoners wenye ng'ombe weng tu ila serikali haina data zao....so mnatushinda kwa kukusanya data sio kwa kiwango cha maziwa.
Excuses hamkosangi watanzania. Hampendi sana kusikia ukweli. Unaweza kuwa na ng'ombe nyingi lakini hawazalishi maziwa. The point should be how much milk do you produce, not how many cattle do you have. Huenda mimi niko na ng'ombe mbili za gredi na wewe uko na kumi za kienyeji waliokonda. Kati yangu na wewe nani atazaliza maziwa nyingi?
 
Mhindi wa Gujarat kadominate mpaka akawa dollar billionaire, ringa na vyako.
Cha ajabu ni kwamba sisi tukisema watu Kama Manu Chandaria ni wakenya wanasema uchumi wetu inamilikiwa na wahindi. Hypocrites!
 
Excuses hamkosangi watanzania. Hampendi sana kusikia ukweli. Unaweza kuwa na ng'ombe nyingi lakini hawazalishi maziwa. The point should be how much milk do you produce, not how many cattle do you have. Huenda mimi niko na ng'ombe mbili za gredi na wewe uko na kumi za kienyeji waliokonda. Kati yangu na wewe nani atazaliza maziwa nyingi?
Mind you Tz now , wametoka kweny kufuga ng'ombe nying (kienyeji) na kufuga za kisasa ..japo sio nchi zima .ila tatizo lipo kweny data...ww usichoelewa nini?
 
Back
Top Bottom