Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unajua nchi zinazoongoza kua na mifugo mingi Africa?
#tofauti yenu na yetu ni maziwa yenu yako documented
mimi nna bili ya 2ltr lila siku kutoka kwa jirani yangu nani mwingine anaejua?

honestly amuwezi kutuzidi izalishaji wa maziwa!!!
Kua na ngombe wengi si tatizo, tatizo ni je ni wa maziwa au nyama. Watu tuko self sufficient. Pinga kwa data.
IMG_20201228_132118_309.jpg
 
Kenya produces 3.43 billion litres per year
Tanzanians post yours
Not number of cattle which have no value
Maybe in meat production does Tanzania best Kenya not milk
 
Bidhaa gani muhimu Kenya inauzia Tanzania?, sisi tunawauzia bidhaa muhimu sana, kama Transforma za umeme, chupa za kioo, na bidhaa zingine zitokanazo na kioo, karatasi, mbao, coal, ngozi, nyama, pamba, mafuta ya Alizeti, dawa za meno za White dent, Konyagi, bidhaa za Azam, na zingine nyingi, ninyi zaidi ya Benki zenu, Sigara na Big G, nini tena mnauzia Tanzania?, Maziwa?
Hahahaaaa huwa hawakuwezi kabisa
 
Tulikua busy kukomboa nchi za Africa na kujenga umoja wa Taifa letu, kufuta ukabila, rushwa na Nepitism, sasa tumemaliza hayo yote sasa hivi tunajenga uchumi wetu na tumewafikia na tunawapita.

Ninyi vipi kuhusu kujenga umoja wa Taifa lenu na kufuta ukabila na rushwa, lini mtaanza hiyo kazi, au ndio basi tena imeshindikana?
Joto is talking
 
Back
Top Bottom