Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
Brain wash hiyo toka walipokua tumboni kwa mama zaoHahahaha Ethiopians na Somalians wana maisha mabovu kupindukia lakini kila siku tunawakamata Tanzania wakielekea SA, huyu ngedere anasema watanzania wanaishobokea Kenya, kwa hiyo Ethiopians na Somalians wana maisha mazuri kuliko watanzania? Wao waone Kenya ni takataka sie tuone Kenya kwa maana? Hajielewi
Unajua wakenya walipumbazwa sana na mababu zao kuaminishwa kwamba wao ndio first world hapa na nchi nyingine zote ni hovyo, sasa baada ya utandawazi taratibu wanaanza kujiona walivyo hovyo
Kuna mpaka dogma walimezeshwa na viongozi wao eti Nyerere alisema watanzania wanawish kwenda Nairobi more than London 😂😂😂😂
Hapo juu tena nasoma tweet ya mkenya confidently anasema Tanzania tumeanza kujenga barabara za lami awamu hii 😂😂😂😂😂
You can imagine namna walivyokua programmed na viongozi wao kwamba wao ndio wao but kwa ground wapo shittest like no one.