Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pole, hizi ni dreamhouses
Capture.PNG
 
Hawa jamaa bana, tarehe mbili walivyoturusha roho barabara ya lamu
Kitambulisho km huna ile barabara jipange kukutana na kdf au hao jamaa..

Kuna msomali sijui walimuua maskini wa Mungu manake alipatikana na nyaraka za navy katika gari lao..
Wenzake waliambiwa wakwende wamuache ajibu vizuri eti atarudi salama tu akijieleza vizuri
 
Hawa jamaa bana, tarehe mbili walivyoturusha roho barabara ya lamu
Kitambulisho km huna ile barabara jipange kukutana na kdf au hao jamaa..

Kuna msomali sijui walimuua maskini wa Mungu manake alipatikana na nyaraka za navy katika gari lao..
Wenzake waliambiwa wakwende wamuache ajibu vizuri eti atarudi salama tu akijieleza vizuri
Huyo lazima walifinya proper. Wana hasira hazieleweki.
 
Tumekosa au tulijenga kitambo tena units kibao
Anasema tumekosa picha, yani kuna mtu alikuwa amepost South c kitambo??
Mpango wa Nairobi noma. Dar es Salaam yote ni slum. hadi wametoa riport et Tanzania hakuna slums. Maana nchi nzima ni uswazi.
Capture.PNG


Compare woth South C
Ep2YgsLW8AUBx5M.jpg
 
Gavana ni choice yako, magari yao hayahusiani na serekali kuu..
Wengi wanatumia v8
Common sense dictates that TOYOTA/LEXUS SUV are the most RELIABLE car to date.ROVER RANGE looks good but are expensive to maintain and unreliable.You may want a range but a prado is what you need.Thats why every car in front of you maybe a TOYOTA!
DF24EDD8-781F-4AC0-BC65-2E461CAB4CC6.png
EC6D8DC3-76D3-45FB-AD28-A52568C4A5ED.png
3DFDCD1C-0A80-4E43-990E-8AA6760F2D35.jpeg
 
Back
Top Bottom