Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Mbona hawa wanakaa wale Ap special forcesKenya Police Elite Squad. This is the group that Killed the Alshabaab in Boni
View attachment 1660956
nyumba zimepangika namna hiyo na kuna barabara ya lami unaita slum? wewe mpuuzi kweli! au kwa vile the roof has rust?Pole, hizi ni dreamhouses
View attachment 1660993
Hii nayo unataka kubisha, leo umenikosa basiKwenu mbunge analipwa sh ngp hebu weka hapa kima tuone.
Hawa jamaa bana, tarehe mbili walivyoturusha roho barabara ya lamu


Alaaa!!kwhyo hakunaHiyo picha siwezi kuwa nayo mana hakuna uhaba wa chakula Tz, ukiona mbunge analisha raia co kwmb wana njaa bali wanaenda kutimiza wajibu mana sadaka haikataliwi.
Tumekosa au tulijenga kitambo tena units kibaoMmekosa kabisa picha mpya etiView attachment 1660978View attachment 1660979
Huyo lazima walifinya proper. Wana hasira hazieleweki.Hawa jamaa bana, tarehe mbili walivyoturusha roho barabara ya lamu
Kitambulisho km huna ile barabara jipange kukutana na kdf au hao jamaa..
Kuna msomali sijui walimuua maskini wa Mungu manake alipatikana na nyaraka za navy katika gari lao..
Wenzake waliambiwa wakwende wamuache ajibu vizuri eti atarudi salama tu akijieleza vizuri
Mbona km varanda za kawaida tu
Anasema tumekosa picha, yani kuna mtu alikuwa amepost South c kitambo??Tumekosa au tulijenga kitambo tena units kibao
Yaani ndo nimemwambia, hiyo ni market stalls.Mbona km varanda za kawaida tu
Hzo ndio ilikua analinganisha na south c kumbeAnasema tumekosa picha, yani kuna mtu alikuwa amepost South c kitambo??
Mpango wa Nairobi noma. Dar es Salaam yote ni slum. hadi wametoa riport et Tanzania hakuna slums. Maana nchi nzima ni uswazi.
View attachment 1661013
Compare woth South C
View attachment 1661014


Ni kama wamezoeaHzo ndio ilikua analinganisha na south c kumbe![]()
Common sense dictates that TOYOTA/LEXUS SUV are the most RELIABLE car to date.ROVER RANGE looks good but are expensive to maintain and unreliable.You may want a range but a prado is what you need.Thats why every car in front of you maybe a TOYOTA!Gavana ni choice yako, magari yao hayahusiani na serekali kuu..
Wengi wanatumia v8



