Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Ooh Haha. Mbona anaendesha magari makubwa kama infiniti. Yaani serikali yao inapoteza pesa kwa upuzi kama huo ilhali Wabongo wenyewe ni masikini wa kutupwa. Serikali yao inapaswa kutumia pesa vizuri.Regional commissioner mkuu


