ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani amepanda ndege mara ngapi amekua waziri kwa miaka 20 katembea dunia nzima ww unaongea nnTatizo ni kuwa rais wenu anaogopa kupanda ndege. Hio kwa kiingereza inaitwa aerophobia.
Kwani amepanda ndege mara ngapi amekua waziri kwa miaka 20 katembea dunia nzima ww unaongea nnTatizo ni kuwa rais wenu anaogopa kupanda ndege. Hio kwa kiingereza inaitwa aerophobia.
kanisaBaada ya construction ya hizo flyover Dar 2025 itabidi hii thread ifungwe.View attachment 1659734
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16] ni vituko sana kwa kweli
Linakaa kama bweni la sekondari.Ikulu ndogo jijini dodoma
View attachment 1659852
TONY254 NEWZNavy Kenzo wanachanganya ndimi. Hawaimbi kingereza tu. Lazima waimbe kiswahili japo kidogo tu ili malazy wawaelewe. Lakini wanaimba kiingereza kwa sababu ya market ya SA. Vanessa anaimba kingereza kwa sababu ya market ya Kenya. Lakini hata yeye pia anaimba kwa lugha zote mbili.
Usiku umefika. Haya ndio hio nimetuma tena. Nikisema niko nayo kwa nyumba namaanisha. Ulisema nitume usiku maana ulidhani mchana nilikuwa natumia ya wenyewe. Saa hii ni saa sita usiku. Natumia wi-fi ya nani?yule mtu nilitaka ikifika usiku atume tena vile vitu.. nikaona ninyamaze tu! eti ana wifi yake [emoji23][emoji23].. akija mwambie afungue sehem ya wifi afu akuonyeshe jina la device ya wifi
siku hizi naona umeanza kuwa kichaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe hata nashangaa mbona huna 5G. Wewe una pesa sana. Lakini pengine ni kwa sababu wewe ni muarabu. Lakini kama ungekuwa muafrika basi ungekuwa unaishi Tandale.
Kwenye miundo mbinu ya basi mpo sawa. Yaani bus infrastructure kuanzia BRT hadi bus stages mpo sawa. Hapo sisi tumelala sana.Dar waiache tu 🤣🤣👇👇👇
View attachment 1659854
acha ushamba.....Usiku umefika. Haya ndio hio nimetuma tena. Nikisema niko nayo kwa nyumba namaanisha. Ulisema nitume usiku maana ulidhani mchana nilikuwa natumia ya wenyewe. Saa hii ni saa sita usiku. Natumia wi-fi ya nani?
View attachment 1659853
Natumai unaweza kuona symbol kama hii kwenye screen
View attachment 1659856
Ile speed mnakuja nayo sio nzuri. Punguzeni kidogo.Mwanza airport new passenger terminal building progress 👇👇👇View attachment 1659867View attachment 1659868View attachment 1659869
noma sana......tushakamua wazee wa kaziMwanza airport new passenger terminal building progress [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1659867View attachment 1659868View attachment 1659869
[emoji3][emoji3][emoji3]Ile speed mnakuja nayo sio nzuri. Punguzeni kidogo.