Mr bongo
JF-Expert Member
- Mar 18, 2019
- 462
- 1,015
Haya maisha ni magumu kupitiliza!!
Kwanza nawaza chakula cha 30ksh ni chakula gan sijui alikula mandazi.??
afu kama chakula cha 30 ndio cha kristmas huyu mtu siku za kawaida anatumia shngp kwa chakula na anakula nn??
Au ndo leo nakula kesho sipati chakula kesho kutwa majaaliwa?? Nchi ya gdp bana ndo mana me naiita nchi ya kusadikika.
Kwanza nawaza chakula cha 30ksh ni chakula gan sijui alikula mandazi.??
afu kama chakula cha 30 ndio cha kristmas huyu mtu siku za kawaida anatumia shngp kwa chakula na anakula nn??
Au ndo leo nakula kesho sipati chakula kesho kutwa majaaliwa?? Nchi ya gdp bana ndo mana me naiita nchi ya kusadikika.
Ksh 30 ni sawa na mia sita hvi kaaaah🙌