komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Heheh!!ushaanza kujitoa ufahamu sasa, mlifanya mistake sana kuingilia ishu za diaspora..kuendesha tu,,,,,,ni simple deal.......
ni udereva tu![]()
WB ndio haooMafukara nyie hamna jipya...endelen kushangilia floating bridge ya kikunya, wakati shule ndio hiziView attachment 1657625View attachment 1657626






Hapo hmna kituusituguse kabisa.....
mnajifanya wajuaji kumbe zerooo kabisaView attachment 1657623View attachment 1657624


Asante sana mkuu, ngoja tumtumikie bwana, siku zenyewe zimebaki chache sana.hongera sana comrad
Kawaida ya mibongolala wakishakosa hoja. Huenda wewe ni moja wa hao 28 million extremely poor souls in 😂 Jikakamue utoke hapaSio kazi yangu kukulisha kila kitu kamulize uruto atakwambia
Zaidi ya ukabila, rushwa na wizi, hamna kitu mnachojua ninyiNmeshangaa vile mnajua mawaziri wetu,mi hata mmoja kutoka Tz simjui![]()




Hahaa!!baba mwenyekitiAsante sana mkuu, ngoja tumtumikie bwana, siku zenyewe zimebaki chache sana.


Magufuli akimaliza muda wako tutarudi mkuu, kwasasa mjini sio sehemu ya kila mtu.Aha haaa
Hongera sana.
Kwa hiyo umeachana kabisa na mambo ya kuishi mjini?
![]()



Hao wakenya huko USA wanamiliki kampuni la usafirishaji mizigo, lenye idadi ya hayo malori, sio kampuni la kutengeneza magari, huyo ni zuzu achana naye.kuna huyo komora ameleta youtube link hapa anajidanganya eti kuna wakenya wapo U.S.A wanamiliki kampuni ya truck cars,,,,
nimemuambia kuwa alete jina la kampuni pia alete jina la aina ya hizo gari wanazozalisha...
soon ataescape,,,ngoja tuone mwisho wake![]()
LOL kumbe ni just forwarders
Sa mbona hayo mambo ya kawaida sana kwa Tanzania diaspora
Serengeti freight inayomilikiwa na mtanzania ni kubwa kuliko hicho kituko cha Kenya komora096
View attachment 1657605View attachment 1657606


huyo jamaa alievaa koti la draft kushoto namfaham.. anaitwa Chris Lukosi yuko UK nae kaanzisha kampuni yake ya forwarders inaitwa KC.. ofisi zake kwa Dar zipo kule Mikocheni Member wa JF longtime sana 😅😅huyo jamaa alievaa koti la draft kushoto namfaham.. anaitwa Chris Lukosi yuko UK nae kaanzisha kampuni yake ya forwarders inaitwa KC.. ofisi zake kwa Dar zipo kule Mikocheni
View attachment 1657662
so kama ni “hivyo” sisi tumewapiga bao zaid
huyo jamaa alievaa koti la draft kushoto namfaham.. anaitwa Chris Lukosi yuko UK nae kaanzisha kampuni yake ya forwarders inaitwa KC.. ofisi zake kwa Dar zipo kule Mikocheni
View attachment 1657662
so kama ni “hivyo” sisi tumewapiga bao zaid
Fala yule demu eti "mkenya anamiliki kampuni ya kutengeneza magari America" (huku anabana pua) labda hizikuna mmoja anajidanganya hapa kaleta kampuni ya truck ipo huko marekani anadai kuwa kuna wakenya huko U.S.A wanamiliki ndiyo namuambia hapa alete jina ya hiyo kampuni pia na jina la gari wanazozalisha...
nimecheka sana yaani ukitaka kumuenjoy mkenya ingia kwenye kipengele cha comparison lazima naye aje kujitutumua hata kwa uwongo ili mladi ajifurahishe...








Wakongwe wa JF tunamjua, zamani alikua active sana humukumbe yupo.. nilikuwa sijui ase
View attachment 1657667
Hii uliipiga ww mkuu.My Photo![]()