komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Watoe wapi?Makampuni ya pombe Kali na maji ndo yako mengi
![]()







Acha kuumia, yani mtu kumiliki kitu kidogo uchina basi imekua gumzo..
Kuna wakenya nje wanapiga hela acheni ishu ndogo ndogo hapa..
Watoe wapi?Makampuni ya pombe Kali na maji ndo yako mengi
![]()







Acha kuumia, yani mtu kumiliki kitu kidogo uchina basi imekua gumzo..
Kuna wakenya nje wanapiga hela acheni ishu ndogo ndogo hapa..
Kama yule kipchoge wakikuonesha picha yake kuanzia kifuani kwenda juu utaweza kuhisi wameficha kiriba tumbo.Mm wakunya wananizd kwenye mbio tu hilo halina ubishi.
Ndio walisema kwamba "is the best minister for health in Africa" alitajwa na "New York Time, eti kwasababu kila siku alikua anasoma na kutangaza CoronaHuyu ndie waziri aliefeli kazi yake kenya



Mkuu nimerudi kijijini kwangu Mwakaleli, nimechaguliwa kuwa mzee wa Kanisa, muda mwingi nipo Kanisani siku hizi
Nmeshangaa vile mnajua mawaziri wetu,mi hata mmoja kutoka Tz simjui🤣🤣👏Ndio walisema kwamba "is the best minister for health in Africa" alitajwa na "New York Time, eti kwasababu kila siku alikua anasoma na kutangaza Corona
Hawa mawaziri wa Kenya ukiacha Matiang'i hakuna hata mmoja mwenye kiwa na sifa ya kuwa waziri chini ya utawala wa Magufuli, kuna yule Macharia, Chatles Keter wa Nishati, yaani ni vichekesho kabisa.
wamshukuru tu mwalimu, kwani bila EAC ya miaka hiyo hata ndege wasingekua nayo maana kila kilichobakiaga kwao walijimilikisha ndege viwanda, na ndo vitu vimewafanya waonekane kwenye ramani ya Afrika.Huwa wanasifia wanasifia yale macanter yao angalia wenzao wenye akili wanajua ukweli..
Nmeshangaa vile mnajua mawaziri wetu,mi hata mmoja kutoka Tz simjui🤣🤣![]()

Hahahaaaa, cjaliona ebu weka wewe ili nipate kulionaJuzi uliletewa hilo basi la NAMATA likiwa kenya ukaingia mitini![]()



Si uzembe wako wa kutopenda kusoma plus lack of exposure, so we've nothing to do with ur recklessness.Nmeshangaa vile mnajua mawaziri wetu,mi hata mmoja kutoka Tz simjui![]()
Mkuu nimerudi kijijini kwangu Mwakaleli, nimechaguliwa kuwa mzee wa Kanisa, muda mwingi nipo Kanisani siku hizi
Angalau mwenzako hapo kakubali, sasa sijui wewe unatakaje..Kwn wewe ilkua unafikiria EA mpo namba ngapi vile![]()
Acha kuumia, yani mtu kumiliki kitu kidogo uchina basi imekua gumzo..
Kuna wakenya nje wanapiga hela acheni ishu ndogo ndogo hapa..



wacha kujidanganya wewe,,,
tuletee jina la hiyo kampuni ya wakenya wenzako inayozalisha kwa kutengeneza hizo truck....Sasa hii ni nn jamani![]()
kuna mmoja anajidanganya hapa kaleta kampuni ya truck ipo huko marekani anadai kuwa kuna wakenya huko U.S.A wanamiliki ndiyo namuambia hapa alete jina ya hiyo kampuni pia na jina la gari wanazozalisha...Watoe wapi?Makampuni ya pombe Kali na maji ndo yako mengi
![]()



we dada ni hivi,,
hongera sana comradMkuu nimerudi kijijini kwangu Mwakaleli, nimechaguliwa kuwa mzee wa Kanisa, muda mwingi nipo Kanisani siku hizi
sasa ndiyo ujijue kuwa hujui mambo mengi,na si mfuatiliaji wa vitu vingi ndiyo maana huwa unaropoka kwa vitu usivyovijua kwa kujifanya unavijua....Nmeshangaa vile mnajua mawaziri wetu,mi hata mmoja kutoka Tz simjui![]()

