Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heheeeee!!huamini macho yako
Kampuni ya 300 trucks sio mchezo, tena marekani wameajiri mpka wazungu..

Emu pinga utuonyeshe km hyo kampuni ni ya nani?
Ukiniwekea ushahidi hapa kwamba inamilikiwa na mkenya kwa asilimia japo 5 tu naondoka jamii forums
 
Heheh!!ushaanza kujitoa ufahamu sasa, mlifanya mistake sana kuingilia ishu za diaspora..
Nikupe nondo nyingine tena au nikuache kwanza upone jeraha
lete jina la kampuni na brand wanazozalisha wacha maneno mengi wanjigu
 
Hapo hmna kitu
Hao wanamiliki ofisi tu, km unapinga lete video ya interview zao nijichekie mimi sio mzembe
video sina ila ukiniletea jina la kampuni na brand wanazozalisha nitakufanyia maarifa ili upate
 
Kawaida ya mibongolala wakishakosa hoja. Huenda wewe ni moja wa hao 28 million extremely poor souls in Jikakamue utoke hapa View attachment 1657654
nakwambia hii mtaitembeza hadi mtachoka,huu ni mwaka wa pili sasa bado mnataarifa hiyo hiyo tu

wenzenu wanawaza mbele nyie mnawaza nyuma akili zenu zime stuck wakati mambo yanabadilika
 
Fala yule demu eti "mkenya anamiliki kampuni ya kutengeneza magari America" (huku anabana pua) labda hizi View attachment 1657665
unabeba engene ya corola tyres za michellin kisha tunaingia shop kununua vioo baada ya hapo tunabonda bonda bodi ili tupate sura ya bodi kisha tuna assemble.....

mwisho wa siku gari yetu tunaipa jina la corols michellin benzi car our body...."

matokeo yatakayotokea sasa kibiashara mteja ataaulizia jina la gari na speccific zake,ghafla ataona miyeyusho ataona bora akanunue gari pendwa ,,,
na ile stock yetu itabaki hivyo hivyo bila kununuliwa mpaka yesu anarudi gari zishapata kutu zinakuwa vumbi
 
Ushabiki Ni kitu mbaya jamani. Hawa basi, kwa vile ukibahatika kuona balance sheet ya ATCL, walitengeneza faida ya shilingi ngapi?

Oooh...umetekenywa uko unakuja kuchekea umu...walitengeneza faida ya kutosha kuolewa ww na rafiki zako wote.
 
Dar es salaam, The City of Twin Towers.

IMG_4150.jpg
 
Kawaida ya mibongolala wakishakosa hoja. Huenda wewe ni moja wa hao 28 million extremely poor souls in Jikakamue utoke hapa View attachment 1657654
Ww fukara usinifanish ...huyu sindio wf wako na haya ni makazi yenu...huwrz kuta Tz ufukara wa style hiii....wajinga kabisa nyie mko buzy na nirobarry express way wakat watatumia wenye hela ..nyie wa free wifi mejazan uku kutamba aisee...mnastahil vibok ving vile vya wachina havitosh
JamiiForums2103133560.jpg
JamiiForums1690919998.jpg
 
Ww fukara usinifanish ...huyu sindio wf wako na haya ni makazi yenu...huwrz kuta Tz ufukara wa style hiii....wajinga kabisa nyie mko buzy na nirobarry express way wakat watatumia wenye hela ..nyie wa free wifi mejazan uku kutamba aisee...mnastahil vibok ving vile vya wachina havitoshView attachment 1657710View attachment 1657711
haya siyo maisha kwa kweli,,kenya wamepitiliza kupindukis
 
Back
Top Bottom