Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

haya siyo maisha kwa kweli,,kenya wamepitiliza kupindukis
Kwn chokoraa huishi maisha gani, nyie mnacheka watu ambao waliachwa na wazazi wao katika mazingira magumu na wala hawana pa kwenda kubakia mayatima..

Au ndio hyo ni hekima yenu aliyowaachia nyerere, duniani homeless people watele
 
video sina ila ukiniletea jina la kampuni na brand wanazozalisha nitakufanyia maarifa ili upate
Mbona mimi nimekuletea video na kila kitu kimeongelewa mule ndani, uzembe ndio unakusumbua..
Hta kwanza kubishana na wewe ni upuuzi tu, yani umepewa nakala inayoongelea kila kitu lkn bado unangangania upuuzi

KWENDAAA!!
 
Ukiniwekea ushahidi hapa kwamba inamilikiwa na mkenya kwa asilimia japo 5 tu naondoka jamii forums
Sirudii kuwaekea wazembe nakala ambazo kwao ni ngumu kuziangalia na kuzielewa..

Baba tafuta hoja nyingine, hii tayari imeshakushinda..
 
Bwanake Dar huyo.
7360475_dhmdl2rwaaaopfh_jpeg604cd1acbfc775b177803f7c2c367024.jpeg
 
Tanzania has 5553 ultra high net worth individuals while Kenya has 2900. Dar is the commercial capital of TZ. Hypothetically, if 2/3 (two thirds) of all millionaires in Tanzania reside in Dar es Salaam then Dar is home to more dollar millionaires than the whole of Kenya (3702 Vs 2900). Kuna watu walikuwa wananasema Mombasa ina dollar millionaires wengi kuliko Dar Here are some facts you should ponder before making any ashaming statements. Anyway... tusherehekee kuwa TZ is the home of the rich.
View attachment 1657500
Hahahahaaa
Screenshot_20201223-194943.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom