Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si uzembe wako wa kutopenda kusoma plus lack of exposure, so we've nothing to do with ur recklessness.
yaani anabishana na watu wanaojua vitu vingi,yeye anaishia kuona kwenye makaratasi na tv vitu nusu nusu,,,,,
wakenya wengi hawajui vitu vingi zaidi ya nairobi ndiyo maana huwa wanabisha kwa vitu wasivyovijua kwa kujifanya wanajua
 
🤣🤣🤣🤣🤣ila watu hawana huruma
A92B08B8-B78D-452C-8B9A-959F8DE5F2FB.jpeg
 
Moja wapo ya barabara za mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambazo kwa kweli wakandarasi walifanya kazi kitaalamu kwa viwango vya kimataifa na value for money yake inaonekana hadi leo (hakuna uchakachuaji) ni hii barabara ya kuanzia Chalinze hadi Moro. Kuna barabara nyingi tu zilikuja kujengwa baada ya hii barabara lakini ni mashimo tupu na nyingine zilishakarabatiwa vya kutosha. Sikumbuki vizuri ni kampuni gani ilijenga hii barabara lakini kwa kweli they deserve a big round of applause for this!
Mjapani konoike kama sikosei

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
we dada ni hivi,,

taja aina ya hizo gari zinazozalishwa pia tupe na jina la kampuni inayozalisha hizo gari...

twende taratibu
Umeoanic
Kampuni inamilikwa na wakenya hyo, tafuta visa ukaajiriwe manake pia kuna wafanyikazi wa kutokea EA
 
kuna huyo komora ameleta youtube link hapa anajidanganya eti kuna wakenya wapo U.S.A wanamiliki kampuni ya truck cars,,,,
nimemuambia kuwa alete jina la kampuni pia alete jina la aina ya hizo gari wanazozalisha...

soon ataescape,,,ngoja tuone mwisho wake
Kwhyo huamini macho yako
Hyo kampuni ni ya wakenya hata ukilialia bado huwezi badilishi uhalalali wa umiliki wao..

Si nyie mlikua mnataka kuona wakenya wanamiliki nini njembna sasa mnahaha..tulieni iwaingie bana..

Eti electronics, electronics ni nn bana...
 
Back
Top Bottom