Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huwezi jua sababu wanaongeaga smart.. ukitaka kuwa maarufu kwenye media ongea ujinga.. kila mtu atamjua.. so hao waliwataja ni zero brains [emoji23]

anyway, kabudi aliwahi kuja kwenu akaongea swahili grade one kila mkenya akamuongelea!
siyo swahili pekee hata english aliyowachapia kuna misamiati wakenya imewapita
 
Si uzembe wako wa kutopenda kusoma plus lack of exposure, so we've nothing to do with ur recklessness.
yaani anabishana na watu wanaojua vitu vingi,yeye anaishia kuona kwenye makaratasi na tv vitu nusu nusu,,,,,
wakenya wengi hawajui vitu vingi zaidi ya nairobi ndiyo maana huwa wanabisha kwa vitu wasivyovijua kwa kujifanya wanajua
 
🤣🤣🤣🤣🤣ila watu hawana huruma
A92B08B8-B78D-452C-8B9A-959F8DE5F2FB.jpeg
 
Moja wapo ya barabara za mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambazo kwa kweli wakandarasi walifanya kazi kitaalamu kwa viwango vya kimataifa na value for money yake inaonekana hadi leo (hakuna uchakachuaji) ni hii barabara ya kuanzia Chalinze hadi Moro. Kuna barabara nyingi tu zilikuja kujengwa baada ya hii barabara lakini ni mashimo tupu na nyingine zilishakarabatiwa vya kutosha. Sikumbuki vizuri ni kampuni gani ilijenga hii barabara lakini kwa kweli they deserve a big round of applause for this![emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Mjapani konoike kama sikosei

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Aha haaa
Usizushe swali lingine. Mimi nimekuuliza uliposoma, ilipaswa unioneshe. Then kesi kwisha. Mfano mimi nikiulizwa umesoma wapi kwamba Kenya ni masikini wakati ni mido ekonomi kantri!!!?
Nitakuonesha (lkn usinipopoe na mawe maana siyo mimi nimesema, ni WBG) hapa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1427][emoji1427][emoji1427]
Endelea kukataa data za WBG tu[emoji1787][emoji1787]
 
we dada ni hivi,,

taja aina ya hizo gari zinazozalishwa pia tupe na jina la kampuni inayozalisha hizo gari...

twende taratibu
Umeoanic[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kampuni inamilikwa na wakenya hyo, tafuta visa ukaajiriwe manake pia kuna wafanyikazi wa kutokea EA[emoji23][emoji23]
 
kuna huyo komora ameleta youtube link hapa anajidanganya eti kuna wakenya wapo U.S.A wanamiliki kampuni ya truck cars,,,,
nimemuambia kuwa alete jina la kampuni pia alete jina la aina ya hizo gari wanazozalisha...

soon ataescape,,,ngoja tuone mwisho wake[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Kwhyo huamini macho yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hyo kampuni ni ya wakenya hata ukilialia bado huwezi badilishi uhalalali wa umiliki wao..

Si nyie mlikua mnataka kuona wakenya wanamiliki nini nje[emoji23][emoji23]mbna sasa mnahaha..tulieni iwaingie bana..

Eti electronics, electronics ni nn bana...
 
Back
Top Bottom