Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
siyo swahili pekee hata english aliyowachapia kuna misamiati wakenya imewapitahuwezi jua sababu wanaongeaga smart.. ukitaka kuwa maarufu kwenye media ongea ujinga.. kila mtu atamjua.. so hao waliwataja ni zero brains
anyway, kabudi aliwahi kuja kwenu akaongea swahili grade one kila mkenya akamuongelea!



kila siku nawaambia Tanzania sio league Yao



man eat man society 

