Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii standard gauge bana. Naona mpka leo phase 3, phase 4,phase 5 hazijapewa mkandarasi na ujenzi wenywe ndo uo unachukua miaka kwa vyovyote vile kukamilika itakua zaidi ya 2026. So swali ni kwamba uganda wataweza kusubiria hii yetu mpka ikamilike waunge ya kwao??
For the time being wagon ferry ndo zinatumika ..
Ndo maana hata phase 3 itakuaa ni Mwanza-Isaka...ili with imrpoved MGR mizigo ifike chap Isaka alfu SGR itoe mzgo isaka to mwanza kisha uvushwe na wagon ferry kwenda Uganda..

Sasa mwisho wa siku inabidi anaylsis zifanyike tujue loading and unloading time za ferries tuone Je compared to North corridor ya kenya which takes shorter time

Mimi naona finally reli itabidi ije iende Uganda via Kagera and Geita ..ili ukitoka Dar uende direct if at all it will be feasible
 
Baba Lao! Sema anamapungufu yake Ila ni mchapa kazi! Tunampendea Hilo big up 255 my mother land big up Magufuli!
 

Attachments

  • officialmataga-post-2020_12_22_10_10.jpg
    officialmataga-post-2020_12_22_10_10.jpg
    65.8 KB · Views: 4
As much as I hate kuwasapoti wakenya kwenye lolote but comedy wapo juu aise.. this nqqas funny bruh . But is because they are dumb
Nani anayechekesha Kenya alafu na mm niweke wanaochekesha Bongo ili upime mwenyewe utacheka wapi, wacha maneno maneno apa.
 
Cha kwanza mm sio bwege... Na pia inaokena una panic ovyo na unashida kufikiri vizuri
Cha pili nimekwambia kwamba loading and unloading time ni disadvantegous kwa upande wa Tz...compared na Mombasa..ambapo reli inaenda straight

So ili Tz kuwa na advantage hio..i see a direct line thtough Geita to Kagera then Uganda will be more beneficial kwetu ili mzgo ukishapakiwa Uganda unafika Dar direct
Lakini ukumbuke SGR kenya imeishia naivasha na wameanza kufufua old meter na uganda ikiwa atajenga SGR inamaana lazima wafike washushe ndio wa load kwenye SGR tayar kuna muda utapotea
 
uganda kwenye aviation saiz wako moto.. wanaongeza ndege. M7 kawa inspired na Magu


Ila hapa Uganda iwe makini sana, maana kwa TZ mpaka sasa ATCL inatengeneza mapato yake mengi kutokana na Local flights kwani TZ kuna viwanja vingi na movement za watu ni kubwa kutoka mkoa kwenda mkoa...nilibahatika kuona balance sheet ya ATCL yaan frequencies za local flights is super good ambazo zinatengeneza asilimia kubwa ya mapato ya ATCL kwa sasa ivyo ATCL inazidi kutengeneza mizizi yake ndani ya nchi na baadae kwnda nje ya nchi ila nyumbani tunakuwa tayar tumejenga soko zuri yaan local flights. Na hapa ndipo tunaipiga bao Kenya airways na Rwanda airways kwani wao wanategemea sana international flights na ndani ya nchi zao biashara ya local flights kwa hayo mashirika yao almost hamna kitu kwani viwanja ni vibovu na sehemu nyngne hakuna viwanja kabisa.
 
Cha kwanza mm sio bwege... Na pia inaokena una panic ovyo na unashida kufikiri vizuri
Cha pili nimekwambia kwamba loading and unloading time ni disadvantegous kwa upande wa Tz...compared na Mombasa..ambapo reli inaenda straight

So ili Tz kuwa na advantage hio..i see a direct line thtough Geita to Kagera then Uganda will be more beneficial kwetu ili mzgo ukishapakiwa Uganda unafika Dar direct
Polee loading ya wapi lake ports ama sea ports? Ikiwa any of those, ina maana huna habari na maboresho yanayoendelea? Usitafute league mzee!
 
Nani anayechekesha Kenya alafu na mm niweke wanaochekesha Bongo ili upime mwenyewe utacheka wapi, wacha maneno maneno apa.
Oyaa najua you are trying to be a good patriot for your country but kunyans kwa comedy wapo juu. Kwa bongo mpoki tu labda na joti. Na mpoki is more of majungu coz wabongu sisi na watu wa majungu but all in all top tier kwa comedy kunyans wametu zidi kidogo.
 
Lakini ukumbuke SGR kenya imeishia naivasha na wameanza kufufua old meter na uganda ikiwa atajenga SGR inamaana lazima wafike washushe ndio wa load kwenye SGR tayar kuna muda utapotea
kumbuka sgr ya kenya inapoishia kuna ka mwendo mpka ufike old mgr so uta offload ubebe kwenye malory mpka kwa mgr alafu u-load tena kwenye mgr way way expensive and time consuming as compared to tz option
 
Oyaa najua you are trying to be a good patriot for your country but kunyans kwa comedy wapo juu. Kwa bongo mpoki tu labda na joti. Na mpoki is more of majungu coz wabongu sisi na watu wa majungu but all in all top tier kwa comedy kunyans wametu zidi kidogo.
Ww ni mbongo wawapi hujui kiswahili.
 
Oyaa najua you are trying to be a good patriot for your country but kunyans kwa comedy wapo juu. Kwa bongo mpoki tu labda na joti. Na mpoki is more of majungu coz wabongu sisi na watu wa majungu but all in all top tier kwa comedy kunyans wametu zidi kidogo.
We wa wapi?
Mbona unaongea vitu vipya?
Eti Kenya itupite comedy?
Kuna mkenya yupi anajua kuigiza comedy?
Accent yao tu wakiongea hata hamu ya kucheka inaisha
 
Kuna kitu Magu anategesha...tena bonge la tego la kumnyakuwa mwana wa uganda kutoka Kwa utopolo Kenya..Hichi kipande cha Isaka - Mwanza ni tego la mzee JPM anampimia Uganda...na usishangae jiwe la msingi anamuita Mseven waweke wote...JPM uwa ana karata ya mbali ukitishia kujamba yeye anakunya kabxa..wakenya mlitaka kuua uchumi wa TZ..Ngariba haogopi Mkojo wacha tuwakekete bila Ganzi..Najua kwa mlivyo vilaza wa kiswahili hamtaelewa hii sms lakini dole limewaingia jiandaeni kulinusa...Merry C-max in advance
 
Back
Top Bottom