Mr_X
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,170
- 2,337
Chief naona kwa punch za jana teargass kapotea kabisa leoHuyu ni nurse nahisi ako kwa mgomo![]()



Chief naona kwa punch za jana teargass kapotea kabisa leoHuyu ni nurse nahisi ako kwa mgomo![]()



Subiri nikuache jirani 😏Ushalemba tayari
Basi apo utakuta vi apartment vinapigwa picha upande upande unaoneshwa, juu heading kuubwaa "Kileleshwa" kumbe uki zoom vundo la chizi





Hehehehee jana tumempa makavu so leo kajifanya ku mute ili tumuone ana kazi za kufanya kumbe hana kazi yoyote anatuchora tu apaChief naona kwa punch za jana teargass kapotea kabisa leo![]()





Dar er salaamView attachment 1650191
Hebu zoom utuoneshe hzo slums ili tubadili meaning of slums




Yes, haya ndio makazi ya watu wa kipato cha chini, hizo nyumba zote ni blocks, sio mabanda ya bati, zina madirisha, kila nyumba kuna choo, kuna barabara za gari kufika, kuna mfumo wa kukusanya takataka, kuna maji ya bomba na mifumo ya maji machafu.




Teargass rudi mkuu, tumekukumbukaHehehehee jana tumempa makavu so leo kajifanya ku mute ili tumuone ana kazi za kufanya kumbe hana kazi yoyote anatuchora tu apa
Sent using Jamii Forums mobile app



Hizi nazo vipiYes, haya ndio makazi ya watu wa kipato cha chini, hizo nyumba zote ni blocks, sio mabanda ya bati, zina madirisha, kila nyumba kuna choo, kuna barabara za gari kufika, kuna mfumo wa kukusanya takataka, kuna maji ya bomba na mifumo ya maji machafu.![]()


eti makaazi ya kipato cha chini, si ungeliita kijiji kabisa manake hzo sehemu wanamiliki..Hakuna nyumba za bati Dar uliza jamaa zako wanaoishi huku wakuambie.Hizi nazo vipieti makaazi ya kipato cha chini, si ungeliita kijiji kabisa manake hzo sehemu wanamiliki..
Mtu anayemiliki kiwanja nairobi hawezi jenga huo utopolo aiseeView attachment 1650230View attachment 1650231View attachment 1650232