Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar kama dar View attachment 1650182
urban-slums-of-dar-es-salaam-in-tanzania-picture-id955732736.jpg
 
Yes, haya ndio makazi ya watu wa kipato cha chini, hizo nyumba zote ni blocks, sio mabanda ya bati, zina madirisha, kila nyumba kuna choo, kuna barabara za gari kufika, kuna mfumo wa kukusanya takataka, kuna maji ya bomba na mifumo ya maji machafu.
Hizi nazo vipieti makaazi ya kipato cha chini, si ungeliita kijiji kabisa manake hzo sehemu wanamiliki..
Mtu anayemiliki kiwanja nairobi hawezi jenga huo utopolo aisee
Screenshot_20201212-010718_YouTube.jpg
Screenshot_20201212-010603_YouTube.jpg
Screenshot_20201212-010823_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom