Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kaangalie kimya kimya usijali, sitaki kukuumbua...
Jamaa atoe video nje ya nchi alafu asiseme[emoji1787][emoji1787]
Tena mtanzania, meno ya bandia ambayo hta wahuni mitaani wanabandika yeye kajiropokea airport itakuja video aliyoifanya nje ya nchi...

Si angeliuja hapa na kujisifia kw kukomboa ma dancer na washirika wengine kadhaa hadi hko mwisho amalizie mziki unalipa bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii insha yote umeandika hapa wala sisomi cz haina uthibitisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii insha yote umeandika hapa wala sisomi cz haina uthibitisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dar baby...
Unawaona ma dancer waliokombolewa kwenda nje ya nchi[emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20201212-010603_YouTube.jpg
Screenshot_20201212-010808_YouTube.jpg
 
Behind the sceen umeshaangali jomba au hela ya bando ndio huna..
Manake nchi maskini kutumia wifi mwiko[emoji1787][emoji1787]
 
Welcome toJacaranda City

View attachment 1650277
Huu upumbavu wote umepost humu umejaa mpk unamwagika huku Tz baati mby simu yenye picha iliharibika but ngj nizitafute nikunyamazishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom