Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anawapa makavu japo inauma, mwaswast na Tony254 ni watz waliozaliwa Kenya kwa bahati mby

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hainiumi manake hata ukilialia vipi jf hakubadiliki jitu, bado watu ni wale wale..

Waache waendelee kuchagua watu wa kabila lao ndio waone km ufisadi utakwisha au bado utaendelea.

Hta ukilia jf hakutobadili chochote, aanze kw familia yake kwanza kuwatoa kasumba ya mtu wetu km ninavyofanya mm ila bado napigwa vita sana na wanafamilia ila bado nawapa makavu
 
Haya njoo tueleze director
wewe ni yupi apa
20201214_152248.jpg

kati ya hawa?
View attachment 1649985
 
Mimi hainiumi manake hata ukilialia vipi jf hakubadiliki jitu, bado watu ni wale wale..

Waache waendelee kuchagua watu wa kabila lao ndio waone km ufisadi utakwisha au bado utaendelea.

Hta ukilia jf hakutobadili chochote, aanze kw familia yake kwanza kuwatoa kasumba ya mtu wetu km ninavyofanya mm ila bado napigwa vita sana na wanafamilia ila bado nawapa makavu
Hehehehee mshaanza kumwagiana mapovu hadharani, iliandikwa kila goti litapigwa na lazima mtii kudadadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom